Mkenya kortini hasara ya bil 6.8/-
RAIA wa Kenya Nelson Onyango (43) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutoa huduma ya mawasiliano ya simu za kimataifa bila kibali na kusababisha hasara ya Sh bilioni 6.8.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 May
Waromania kizimbani hasara ya bil. 2/-
RAIA wawili wa Romania wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kuingilia miundombinu ya mawasiliano na kusababisha hasara ya Sh bilioni 2.1 kwa Serikali na Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA).
11 years ago
Habarileo28 Feb
RC- Waliosababisha hasara bil. 4/- wakamatwe
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, ameishauri Serikali Kuu ishughulikie wataalamu waliosababisha hasara ya Sh bilioni nne, kwa kuelekeza uchimbaji wa visima nane vyenye maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kizimbani kuisababishia hasara NMB bil. 1/-
WATU wa tatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la kuisababishia National Microfinance Bank (NMB), hasara ya zaidi ya sh bilioni moja. Wakisomewa shitaka hilo...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Mkenya atuhumiwa kuikosesha mapato TCRA Sh6.8 bil
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia
Na Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...
9 years ago
StarTV24 Dec
Tanzania yapata hasara ya zaidi ya bil. 230 kwa mwakaÂ
Wakulima na wadau wa kilimo cha mazao yanayotumika kuzalisha mafuta ya kupikia, wamelalamikia uingizwaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara hatua inayochangia kupungua kwa soko la mafuta yanayozalishwa nchini.
Takribani asilimia 50 ya mafuta yanayotumika nchini yanatoka nje ya nchi ambapo mafuta yanayozalishwa nchini yanatajwa kutosheleza mahitaji ya soko la ndani ikiwa ni pamoja na ziada inayoweza kuuzwa nje ya nchi.
Wafanyabishara wa mazao ya mafuta...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...