Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kizimbani kuisababishia hasara NMB bil. 1/-

WATU wa tatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la kuisababishia National Microfinance Bank (NMB), hasara ya  zaidi ya sh bilioni moja. Wakisomewa shitaka hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Vigogo sita wa Halotel kizimbani kwa utakatishaji na kuisababishia TCRA hasara ya Sh. Bilioni 78.

Na Karama Kenyunko globu ya jamii.

MKURUGENZI wa Kampuni ya Halotel Son Nguyen (46), na vigogo wengine watano wa Viettel Tanzania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 10 yakiwemo ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 78

Washtakiwa wengine ni Nguyen Minh (40) na Vu Tiep Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wa Halotel, Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni...

 

11 years ago

Habarileo

Waromania kizimbani hasara ya bil. 2/-

RAIA wawili wa Romania wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kuingilia miundombinu ya mawasiliano na kusababisha hasara ya Sh bilioni 2.1 kwa Serikali na Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA).

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA

Na Karama Kenyunko- Michuzi TV

MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.

Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...

 

5 years ago

Michuzi

VIGOGO SITA WA KAMPUNI YA VIETTEL TANZANIA NA HALOTEL WAMWANDIKIA BARUA DPP KUOMBA KUINGIA MAKUBALIANO YA KUKIRI MASHTAKA YA KUISABABISHIA TCRA HASARA YA SH BILIONI 75

Na Karama Kenyunko

VIGOGO sita wa Kampuni ya Viettel Tanzania akiwemo Mkurugenzi wa Halotel, Son Nguyen (46), wameandika barua kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), wakiomba kuingia makubaliano ya kukiri mashtaka ya kuisababishia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), hasara ya zaidi ya Sh bilioni 75.

Mbali na Nguyen washitakiwa wengine ni Nguyen Minh (40)  na Vu Tiep ambao wote ni Mameneja wa Halotel, Ha Than (39) Mtaalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) Halotel,...

 

11 years ago

Habarileo

RC- Waliosababisha hasara bil. 4/- wakamatwe

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, ameishauri Serikali Kuu ishughulikie wataalamu waliosababisha hasara ya Sh bilioni nne, kwa kuelekeza uchimbaji wa visima nane vyenye maji yasiyofaa kwa matumizi ya binadamu.

 

11 years ago

Habarileo

Mkenya kortini hasara ya bil 6.8/-

RAIA wa Kenya Nelson Onyango (43) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutoa huduma ya mawasiliano ya simu za kimataifa bila kibali na kusababisha hasara ya Sh bilioni 6.8.

 

11 years ago

Mwananchi

Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil

Hali ya kifedha ya kampuni ya usafiri wa anga ya Ndege ya Precision Air bado haijatengemaa baada ya kupata hasara ya Sh12.1 bilioni katika mwaka ulioishia Machi mwaka huu. Hata hivyo, hasara hiyo ni ahueni baada ya mwaka jana kupata hasara kubwa zaidi ya Sh30.1 bilioni.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia

saada mkuyaNa Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...

 

10 years ago

Mtanzania

DED kizimbani kwa kusababisha hasara ya milioni 24/-

Na Lushishi Robert, Serengeti

TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mara, imemfikisha mahakamani Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Goody Kitambo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababisha Serikali hasara ya Sh milioni 24.5.

Kitambo alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti akituhumiwa kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake ikiwa ni pamoja na kukiuka sheria ya ununuzi wa umma kwa kuelekeza magari ya halmashauri ya wilaya hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani