Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sh6.8 bilioni hupotea ukataji misitu nchini

Ripoti imebaini mapato yanayokadiriwa kufikia Sh6.8 bilioni yamekuwa yakipotea kila mwaka, kutokana na ukusanyaji mdogo wa mirabaha na usimamizi mbovu wa leseni za uvunaji misitu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika ukumbi wa Ngorongoro Makao Makuu wa Wizara hiyo Mpingo House Jijini Dar es Salaam leo tarehe 05 Januari, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Meja Jenerali Gaudence Milanzi.Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yapiga marufuku ukataji wa miti nchini hata kama ikiwa mtu amepanda nyumbani kwake

unnamed3Naibu waziri wa Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri akiwa na wataalamu na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu wakikagua msitu wa Siha mkoani Kilimanjaoro alipotembelea juzi . Waziri Nyalandu aliruhusu nguzo nza umeme kupita katika msitu huo ili kuwezesha wananchi wa wilaya hiyo kupata umeme.
unnamedWaziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akimsalimia mmoja wa wagonjwa waliofuata huduma katika zahanati ya Ngarenanyuki wilayani Arumeru ,juzi  alipoitembelea baada ya Mbunge wa jimbo...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi

 Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la kuandaa kitabu cha viashiria hatarishi (Risk Registry) vya Wizara ya Madini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma leo Mei 18, 2020. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Augustine Ollal. (Picha na Wizara ya Madini).  Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA

 Moto ukiendelea kuwaka kabla ya kuanza kuzima na ntambo wa zima moto Mtambo wa zima moto ukirusha maji umbali wa mita 100 kuzima moto uliokuwa unawaka katika eno hilo wakati wa tukio la uzinduzi wa mtambo huo uliofanyika Mlandizi mkoani Pwani Mtambo wa kuzima moto ukiendelea kutoa maji kwa ajili ya kuzima moto uliokuwa umewashwa na watumishi wa TFS kwa ajili ya kuonesha uwezo wa mtambo huo kwenye kuzima moto Watumishi wa TFS ambao wamepata mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia mtambo huo...

 

10 years ago

Michuzi

WANASIASA WATAKIWA KUTOSHIRIKI KATIKA USHAWISHI WA UHARIBIFU WA MISITU NA MAZINGIRA NCHINI

Na Abdulaziz Ahmeid-Dodoma Wanasiasa wameombwa kutoa ushirikiano kwa taasisi na wadau mbalimbali wanaoshughulika na uhifadhi wa misitu na mazingira badala ya wao kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanaoshiriki na kusababisha uharibifu wa mazingira unaondelea kwa kasi hapa nchini. Wito huo umetolewa leo mjini Dodoma na mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa jamii wa usimamizi wa misitu Tanzania(MJUMITA)Bi Rahima Njaidi Wakati wa ufunguzi wa warsha na mkutano mkuu wa 14,ambao umeshirikisha wanachama...

 

5 years ago

Michuzi

MHESHIMIWA ZUNGU KWA WABUNGE KUHUSU USIMAMIZI WA MISITU YA ASILI NCHINI

Na Omary Machunda , Ofisi ya Bunge DodomaWABUNGE wanaounda Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE) wamepewa mafunzo ya kuwajengea uwezo wabunge juu ya usimamizi bora wa misitu ya asili iliyomo nchini.
Akizungumza katika mafunzo hayo Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Mussa Zungu alisema kutokana na kutoweka kwa kasi kwa misitu mingi ya asili, Wizara yake inalo jukumu kubwa kuhakikisha hali hiyo inadhibitiwa kwa kushirikiana na wananchi.
Aidha, Zungu alitoa...

 

11 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) YANYA ZIARA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI KUJIONEA UTUNZAJI WA MISITU YA CHOME, SHENGENA-KILIMANJARO

 Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza akiwaonesha waandishi eneo lilillovamiwa na wachimbaji Madini na baadae walifanikiwa kuwaondoa, kwa siku walikuwa wanaingia zaidi ya 600,000 wakichanganyika na wa nchi jirani.  Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari waliofanya ziara ya kuona mazingira ya mto Chome ambalo ni chanzo cha maji yanayokwenda mto Saseni na kutoa maji kwa wakazi wa Same na kumwaga maji Bonde la umwagiliaji Ndungu,Ruvu na Pangani.  ...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-2

KUPENDA ni hisia za ndani. Hata siku moja, mtu hawezi kulazimisha kupenda. Ni mpaka moyo wake uamue wenyewe. Wakati fulani hisia hizo hutoweka. Kwa bahati mbaya ni kwamba, wakati hisia za kupenda na msisimko wa mapenzi vikiondoka, mhusika huwa hana taarifa. Ni wachache sana hujigundua.
Wengi hujikuta tu– tena wenzi wao ndiyo hugundua mapema na huathiriwa na mabadiliko hayo kuliko wahusika wenyewe. Hata hivyo hao...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-3

NAFURAHI kuona kwamba somo limepokelewa vizuri na wadau na wengi wameonekana kulielewa vizuri zaidi. Marafiki wamejitokeza kwa wingi kuuliza maswali kwa njia mbalimbali huku wengine wakihitaji ushauri. Ni wengi sana. Marafiki, kiukweli inakuwa vigumu kuwafikia wote, kama ulinitumia meseji sijakujibu, tafadhali usikasirike. Zipo nyingi sana. Kitu kimoja nikuhakikishie, majibu ya maswali yote utayapata katika mada hii. Jambo kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani