Sh6.8 bilioni hupotea ukataji misitu nchini
Ripoti imebaini mapato yanayokadiriwa kufikia Sh6.8 bilioni yamekuwa yakipotea kila mwaka, kutokana na ukusanyaji mdogo wa mirabaha na usimamizi mbovu wa leseni za uvunaji misitu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO
10 years ago
Michuzi26 Oct
Serikali yapiga marufuku ukataji wa miti nchini hata kama ikiwa mtu amepanda nyumbani kwake
![unnamed3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/unnamed37.jpg)
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/unnamed29.jpg)
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s72-c/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s640/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_m9qjEUfB0/XrEDiooPDUI/AAAAAAALpJA/Ufkc1Pnu208VHE9s3dQPSytZdO724r8XgCLcBGAsYHQ/s640/6ef4f28c-b6fd-4522-ad3f-11392cd6e632.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XEs1bWkQL4g/XrEDij6nPcI/AAAAAAALpJE/GOrQ6fEVAAUJUvhq-FHGpdHYv_1eJG89wCLcBGAsYHQ/s640/8cf1c48a-e21b-4ee2-bd99-289d72365fe9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KSzX2j5ZdwM/XrEDhoZpu8I/AAAAAAALpI4/dZhCZ9W8D60XXd2-YBKN3QnfTzx12KuGACLcBGAsYHQ/s640/60d6d58c-80c7-4eb1-b962-968744d22442.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ep_QnQb8Oyc/VJIBXKAvdMI/AAAAAAAG3_c/fxTRZlEmVr4/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WANASIASA WATAKIWA KUTOSHIRIKI KATIKA USHAWISHI WA UHARIBIFU WA MISITU NA MAZINGIRA NCHINI
Na Abdulaziz Ahmeid-Dodoma Wanasiasa wameombwa kutoa ushirikiano kwa taasisi na wadau mbalimbali wanaoshughulika na uhifadhi wa misitu na mazingira badala ya wao kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanaoshiriki na kusababisha uharibifu wa mazingira unaondelea kwa kasi hapa nchini. Wito huo umetolewa leo mjini Dodoma na mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa jamii wa usimamizi wa misitu Tanzania(MJUMITA)Bi Rahima Njaidi Wakati wa ufunguzi wa warsha na mkutano mkuu wa 14,ambao umeshirikisha wanachama...
5 years ago
MichuziMHESHIMIWA ZUNGU KWA WABUNGE KUHUSU USIMAMIZI WA MISITU YA ASILI NCHINI
Na Omary Machunda , Ofisi ya Bunge DodomaWABUNGE wanaounda Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE) wamepewa mafunzo ya kuwajengea uwezo wabunge juu ya usimamizi bora wa misitu ya asili iliyomo nchini.
Akizungumza katika mafunzo hayo Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Mussa Zungu alisema kutokana na kutoweka kwa kasi kwa misitu mingi ya asili, Wizara yake inalo jukumu kubwa kuhakikisha hali hiyo inadhibitiwa kwa kushirikiana na wananchi.
Aidha, Zungu alitoa...
Akizungumza katika mafunzo hayo Mgeni rasmi ambaye ni Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Mussa Zungu alisema kutokana na kutoweka kwa kasi kwa misitu mingi ya asili, Wizara yake inalo jukumu kubwa kuhakikisha hali hiyo inadhibitiwa kwa kushirikiana na wananchi.
Aidha, Zungu alitoa...
11 years ago
Michuzi26 May
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) YANYA ZIARA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI KUJIONEA UTUNZAJI WA MISITU YA CHOME, SHENGENA-KILIMANJARO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkzM7JCNIwV9Z7Z0EOLibwmZIhtXWVRg1enk2a7bCWyidYJNa3IsknBMutPAH123wFkkUtrd7e-BECSdmg0UgbuH/MAHABA.jpg)
KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-2
KUPENDA ni hisia za ndani. Hata siku moja, mtu hawezi kulazimisha kupenda. Ni mpaka moyo wake uamue wenyewe. Wakati fulani hisia hizo hutoweka. Kwa bahati mbaya ni kwamba, wakati hisia za kupenda na msisimko wa mapenzi vikiondoka, mhusika huwa hana taarifa. Ni wachache sana hujigundua.
Wengi hujikuta tu– tena wenzi wao ndiyo hugundua mapema na huathiriwa na mabadiliko hayo kuliko wahusika wenyewe. Hata hivyo hao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLF6oaRjqh2a3ZqmulOw-cgX2ONCI5t6h0zo*jwXM7RgwS5cTfIz9azO*k4eD6VgDjkRxMd0V3oE4JlX0gFZVaJ/mahaba.jpg)
KUNA WAKATI HISIA ZA KUPENDA, MSISIMKO HUPOTEA!-3
NAFURAHI kuona kwamba somo limepokelewa vizuri na wadau na wengi wameonekana kulielewa vizuri zaidi. Marafiki wamejitokeza kwa wingi kuuliza maswali kwa njia mbalimbali huku wengine wakihitaji ushauri. Ni wengi sana. Marafiki, kiukweli inakuwa vigumu kuwafikia wote, kama ulinitumia meseji sijakujibu, tafadhali usikasirike. Zipo nyingi sana. Kitu kimoja nikuhakikishie, majibu ya maswali yote utayapata katika mada hii. Jambo kubwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania