Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANASIASA WATAKIWA KUTOSHIRIKI KATIKA USHAWISHI WA UHARIBIFU WA MISITU NA MAZINGIRA NCHINI

Na Abdulaziz Ahmeid-Dodoma Wanasiasa wameombwa kutoa ushirikiano kwa taasisi na wadau mbalimbali wanaoshughulika na uhifadhi wa misitu na mazingira badala ya wao kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanaoshiriki na kusababisha uharibifu wa mazingira unaondelea kwa kasi hapa nchini. Wito huo umetolewa leo mjini Dodoma na mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa jamii wa usimamizi wa misitu Tanzania(MJUMITA)Bi Rahima Njaidi Wakati wa ufunguzi wa warsha na mkutano mkuu wa 14,ambao umeshirikisha wanachama...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa

BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.

 

9 years ago

StarTV

Wingi wa wakimbizi, wahamiaji haramu wachangia Uharibifu Wa Misitu Kasulu

Mkuu wa wilaya ya Kasulu Gerald Guninita amesema Wingi wa Wakimbizi na Wahamiaji haramu wilayani Kasulu mkoani Kigoma unadaiwa kuchangia uharibifu mkubwa wa misitu kutokana na kukata miti kwa ajili ya shughuli za kibinadamu.

Ametoa taarifa hiyo mbele ya  Wajumbe wa Bodi ya ushauri ya Wakala wa huduma za misitu TSF na kudai kuwan uharibifu wa misitu umetokana na ujenzi wa makazi ya muda ya wakimbizi.

 Ukataji misitu hovyo kwa ajiri ya matumizi ya kibinadamu ujenzi, kilimo, kuchoma mkaa na...

 

9 years ago

StarTV

Uharibifu wa misitu katavi, tabora wachangia Uelewa ndogo wa sheria

 

Utafiti uliofanywa katika vijiji nane vya wilaya nne za mikoa ya Katavi na Tabora kuhusu uelewa wa sheria ndogo za kuhifadhi misitu umebaini uharibifu mkubwa wa misitu unaofanyika katika kipindi cha chaguzi mbalimbali za Chama na Serikali.

Timu ya watafiti kutoka chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine SUA imesema misitu mingi ya asili katika mikoa ya Tabora na Katavi uharibiwa kutokana na wananchi kuwa na uelewa duni wa sheria ndogo wa kulinda misitu ya vijiji.

Doka Gimbage Mbeyale na Dr....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Washtushwa na uharibifu wa mazingira

Viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali mkoani Dodoma wamesema uharibifu wa mazingira nchini unaongezeka kwa kasi hivyo ni wakati wa Serikali na taasisi za dini kushirikiana kukabiliana na janga hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uharibifu mazingira tishio

ZAIDI ya theluthi mbili ya ardhi nchini imeathiriwa na uharibifu wa mazingira, hali iliyosababisha upungufu wa mvua na ongezeko la joto. Mtafiti wa Kilimo wa Taasisi ya Kartin, Abdallah Mpunga,...

 

11 years ago

Habarileo

Bilal: Pambaneni na uharibifu wa mazingira

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, amewahimiza Watanzania kupambana na uharibifu wa mazingira, kwa sababu kwa sasa kila mtu anashuhudia athari za uharibifu wa mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

Bilal akemea uharibifu mazingira

Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ameonya watu kuacha kujihusisha na uvuvi haramu, uchomaji moto na ukataji miti ovyo ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika ukumbi wa Ngorongoro Makao Makuu wa Wizara hiyo Mpingo House Jijini Dar es Salaam leo tarehe 05 Januari, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Meja Jenerali Gaudence Milanzi.Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani