Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa

BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wabunge wa Bunge la Katiba washauriwa kuweka maslahi ya taifa mbele

E83A1331E83A1331

Kaimu Mwalimu mkuu wa pili kitengo cha walemavu katika shule ya msingi mchanganyiko Ikungi, Donard Adamu Bilali, akizungumza na wanachama wa Singida Press Club, waliotembelea shule hiyo.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

KAIMU Mwalimu Mkuu kitengo cha walemavu shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali amewashauri wajumbe wa Bunge la katiba kuimarisha umoja baina yao ili waweze kutengeneza katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 50...

 

10 years ago

GPL

NIMEJIUNGA NA ACT ILI KUENDELEA KUWEKA MBELE MASLAHI YA TAIFA - ZITTO KABWE

Zitto akiongea na wanahabari leo katika ukumbi wa mikutano ndani ya Hoteli ya Serena, Dar. Maelezo ya Ndugu Zitto Kabwe aliyoyatoa katika Mkutano na Waandishi wa Habari kufuatia Kung’atuka Ubunge na Kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo Jumapili, 22 Machi 2015, Serena Hoteli, Dar es Salaam Ndugu Waandishi wa habari, wanachama na wapenzi wa ACT-Wazalendo na wote mliohudhuria mkutano huu, Kama mnavyojua siku ya Ijumaa tarehe...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif awashauri wananchi kuweka mbele maslahi ya Zanzibar

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi mkuu kwenye uwanja wa Mkokotoni, Jimbo la Tumbatu, Unguja Kaskazini. Na Hassan Hamad, OMKR. Monday, October […]

The post Maalim Seif awashauri wananchi kuweka mbele maslahi ya Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

WANASIASA WATAKIWA KUTOSHIRIKI KATIKA USHAWISHI WA UHARIBIFU WA MISITU NA MAZINGIRA NCHINI

Na Abdulaziz Ahmeid-Dodoma Wanasiasa wameombwa kutoa ushirikiano kwa taasisi na wadau mbalimbali wanaoshughulika na uhifadhi wa misitu na mazingira badala ya wao kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanaoshiriki na kusababisha uharibifu wa mazingira unaondelea kwa kasi hapa nchini. Wito huo umetolewa leo mjini Dodoma na mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa jamii wa usimamizi wa misitu Tanzania(MJUMITA)Bi Rahima Njaidi Wakati wa ufunguzi wa warsha na mkutano mkuu wa 14,ambao umeshirikisha wanachama...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wanasiasa msishabikie Katiba kwa maslahi yenu’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wabunge na wawakilishi wamewataka wanasiasa wenzao kutoshabikia muundo wa utawala kwenye Katiba mpya kwa maslahi ya kupata vyeo. Badala yake wamewataka kuhakikisha Katiba mpya, inagusa maisha ya watu na uchumi kiujumla ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na kupata maendeleo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vyama vya siasa vyatakiwa kuweka utaifa mbele



Vyaonywa maslahi ya vyama yataiweka nchi pabaya
NA KHADIJA MUSSA
VIONGOZI wa vyama vya siasa watakaokwenda kukutana na Rais Jakaya Kikwete, wametakiwa kuweka mbele masuala yanayohusu taifa na si misimamo binafsi ya vyama vyao.
Aidha wasomi nchini wamempongeza Rais Kikwete kwa kukubali kukutana na viongozi wa vyamaa hivyo vya siasa kwa kuwa ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kutokuwa na ubaguzi hata kwa watu wasiomuunga mkono.
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukubali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Japo uimbaji Injili ni kazi, haifai fedha kuweka mbele

TAFSIRI ya neno ‘kazi’, ni shughuli yoyote halali ambayo kupitia kwayo, mhusika anajipatia kipato cha kumwezesha kuishi, kwa maana ya kujikimu katika mahitaji ya kila siku. Kupitia tafsiri hii, unaweza...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa watakiwa kuvumiliana

VIONGOZI wa kisiasa nchini wametakiwa kuwa na moyo wa kuvumiliana na kuepuka kutanguliza maslahi binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani