Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanasiasa msishabikie Katiba kwa maslahi yenu’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wabunge na wawakilishi wamewataka wanasiasa wenzao kutoshabikia muundo wa utawala kwenye Katiba mpya kwa maslahi ya kupata vyeo. Badala yake wamewataka kuhakikisha Katiba mpya, inagusa maisha ya watu na uchumi kiujumla ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na kupata maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TMF yalipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki

Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo Novembar (katikati) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) wakati akilipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki. Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kasimu Mapili (kulia), akiimba na kupiga gitaa lake wakati Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo Novembar (katikati), alipozungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu kulipongeza Bunge la...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa

BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuache maslahi binafsi tutafute katiba ya nchi

MCHAKATO wa kuandika katiba mpya ya taifa letu umefika mahali pagumu. Ni pagumu kwa vile mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba hauonyeshi kutoa kile ambacho wananchi wanakisubiri kwa hamu sana....

 

11 years ago

Dewji Blog

Wabunge wa Bunge la Katiba washauriwa kuweka maslahi ya taifa mbele

E83A1331E83A1331

Kaimu Mwalimu mkuu wa pili kitengo cha walemavu katika shule ya msingi mchanganyiko Ikungi, Donard Adamu Bilali, akizungumza na wanachama wa Singida Press Club, waliotembelea shule hiyo.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

KAIMU Mwalimu Mkuu kitengo cha walemavu shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali amewashauri wajumbe wa Bunge la katiba kuimarisha umoja baina yao ili waweze kutengeneza katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 50...

 

11 years ago

GPL

WASANII ‘KUPIKA NGOMA’ KUDAI MASLAHI KATIKA KATIBA MPYA!

Mwandishi wa habari wa Global Publishers, Brighton Masalu, akifanya mahojiano na wasanii Farid Kubanda ‘Fid Q’ (kushoto) na John Simon ‘Joh Makini’ kulia.
Mtayarishaji wa wimbo huo, Paul Mattysse ‘P- Funk’, katika pozi muda mfupi kabla ya kuingia studioni.…

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge Maalumu la Katiba limetekwa wanasiasa’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Makersia Jibubu amesema anasikitishwa na namna wanasiasa walivyoliteka Bunge hilo na kuwafanya wajumbe wengine walioteuliwa na Rais kuwa kama njia ya kupitishia hoja zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Shajara ya Rasimu ya Katiba na ndoto za wanasiasa

Leo tumeanza mwaka mpya wa 2014 kukiwa na mengi yakisubiriwa. Tumemaliza mwaka 2013 kwa wananchi kutoa maoni yao mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuhusu ama kuandikwa kwa Katiba Mpya au la.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba ni ya watanzania sio ya wanasiasa wa Tanzania

Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wamegawanyika vipande viwili. Kipande kimoja kiko Dodoma kikiendelea na mchakato wa kujadili upatikanaji wa Katiba mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba

>Wasomi na wataalamu mbalimbali wameshauri kuangaliwa upya kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwabana wajumbe wanaotumia vikao vya Bunge Maalumu kujijenga kisiasa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015, badala ya masilahi ya wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani