Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba ni ya watanzania sio ya wanasiasa wa Tanzania

Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wamegawanyika vipande viwili. Kipande kimoja kiko Dodoma kikiendelea na mchakato wa kujadili upatikanaji wa Katiba mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wanataka maji sio ngumi za wanasiasa

SIASA ni uchumi, Siasa ni kilimo, hizi zilikuwa ni kauli mbiu ambazo  hayati Mwalimu Nyerere alizianzisha ili kuonesha kuwa huwezi kutenganisha siasa na maendeleo. Siasa ni kila kitu katika maisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC

IMG_4357

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA

* Kauli ya Rais Magufuli ya Uchaguzi mkuu  kuwa huru na haki yawafurahisha vyama vya siasa
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii

MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.

Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania sio wajinga

HIVI karibuni ilitolewa ripoti  ya chapisho la tatu kwenye taarifa za  kidemografia, kijamii na kiuchumi  ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2012. Ripoti hiyo ilieleza jinsi  maisha kwa...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania waonywa dhidi ya kutumiwa na wanasiasa

WAUMINI wa dini mbalimbali nchini na Watanzania kwa ujumla wameonywa juu ya kuacha kukubali kutumiwa na wanasiasa kufanya vitendo vya kuvunja sheria siku ya uchaguzi  mkuu, hali inayoweza  kuleta  vurugu na kuvuruga amani na utulivu

Mmoja wa viongozi wa dini ya Kiislamu mkoani Singida Shekhe Issa Nasoro amesema leo kuwa kauli  kinzani za Tume ya uchaguzi, Serikali na baadhi ya wanasiasa kubaki au kuondoka vituoni baada ya kupiga kura zinapaswa kupimwa na kila mtu kutumia akili  zake ili...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanasiasa watahadharishwa juu ya kuwagawa watanzania kwa udini na ukabila

SAM_0194Mgombea mteule wa ubunge jimbo la Manyoni magharibi(CCM), Bwana Ally Masare akielezea umuhimu wa kusoma katiba iliyopo kwa sasa kwa vijana wa kambi ya UVCCM wilaya ya Manyoni kwenye shule ya sekondari Mkwese.

Mgombea mteule wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Ally Masare amewatahadharisha baadhi ya wanasiasa walioomba kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao,kujiepusha na kauli za kuwagawa makundi watanzania kwenye maeneo yao kwa kuhubiri ukabila na...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge Maalumu la Katiba limetekwa wanasiasa’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Makersia Jibubu amesema anasikitishwa na namna wanasiasa walivyoliteka Bunge hilo na kuwafanya wajumbe wengine walioteuliwa na Rais kuwa kama njia ya kupitishia hoja zao.

 

11 years ago

Mwananchi

Shajara ya Rasimu ya Katiba na ndoto za wanasiasa

Leo tumeanza mwaka mpya wa 2014 kukiwa na mengi yakisubiriwa. Tumemaliza mwaka 2013 kwa wananchi kutoa maoni yao mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuhusu ama kuandikwa kwa Katiba Mpya au la.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani