Katiba ni ya watanzania sio ya wanasiasa wa Tanzania
Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wamegawanyika vipande viwili. Kipande kimoja kiko Dodoma kikiendelea na mchakato wa kujadili upatikanaji wa Katiba mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Wananchi wanataka maji sio ngumi za wanasiasa
SIASA ni uchumi, Siasa ni kilimo, hizi zilikuwa ni kauli mbiu ambazo hayati Mwalimu Nyerere alizianzisha ili kuonesha kuwa huwezi kutenganisha siasa na maendeleo. Siasa ni kila kitu katika maisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Op57Wx6ZK5c/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.
Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania sio wajinga
HIVI karibuni ilitolewa ripoti ya chapisho la tatu kwenye taarifa za kidemografia, kijamii na kiuchumi ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2012. Ripoti hiyo ilieleza jinsi maisha kwa...
9 years ago
StarTV24 Oct
Watanzania waonywa dhidi ya kutumiwa na wanasiasa
WAUMINI wa dini mbalimbali nchini na Watanzania kwa ujumla wameonywa juu ya kuacha kukubali kutumiwa na wanasiasa kufanya vitendo vya kuvunja sheria siku ya uchaguzi mkuu, hali inayoweza kuleta vurugu na kuvuruga amani na utulivu
Mmoja wa viongozi wa dini ya Kiislamu mkoani Singida Shekhe Issa Nasoro amesema leo kuwa kauli kinzani za Tume ya uchaguzi, Serikali na baadhi ya wanasiasa kubaki au kuondoka vituoni baada ya kupiga kura zinapaswa kupimwa na kila mtu kutumia akili zake ili...
9 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wanasiasa watahadharishwa juu ya kuwagawa watanzania kwa udini na ukabila
Mgombea mteule wa ubunge jimbo la Manyoni magharibi(CCM), Bwana Ally Masare akielezea umuhimu wa kusoma katiba iliyopo kwa sasa kwa vijana wa kambi ya UVCCM wilaya ya Manyoni kwenye shule ya sekondari Mkwese.
Mgombea mteule wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Ally Masare amewatahadharisha baadhi ya wanasiasa walioomba kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao,kujiepusha na kauli za kuwagawa makundi watanzania kwenye maeneo yao kwa kuhubiri ukabila na...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
‘Bunge Maalumu la Katiba limetekwa wanasiasa’
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Shajara ya Rasimu ya Katiba na ndoto za wanasiasa