Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa watahadharishwa juu ya kuwagawa watanzania kwa udini na ukabila

SAM_0194Mgombea mteule wa ubunge jimbo la Manyoni magharibi(CCM), Bwana Ally Masare akielezea umuhimu wa kusoma katiba iliyopo kwa sasa kwa vijana wa kambi ya UVCCM wilaya ya Manyoni kwenye shule ya sekondari Mkwese.

Mgombea mteule wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Ally Masare amewatahadharisha baadhi ya wanasiasa walioomba kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu ujao,kujiepusha na kauli za kuwagawa makundi watanzania kwenye maeneo yao kwa kuhubiri ukabila na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Udini, ukabila ni ukaburu

KATI ya nukuu ama wosia muhimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa Watanzania ni kukataa

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein akemea udini, ukabila

Dk.-Ali-Mohamed-SheinNA AMON MTEGA, RUVUMA

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka Watanzania wasigawanyike kwa masuala ya kidini na ukabila kwa kuwa wanaweza kuvuruga amani ya nchi.
Dk. Shein alitoa wito huo jana mjini Songea alipokuwa akizindua mbio za mwenge wa uhuru katika Uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma.
“Kuna baadhi ya makundi yamekuwa yakifanya jitihada za kuwagawa Watanzania kwa kuingiza masuala ya udini na
wengine wanaanza kueneza ukabila.
“Mambo hayo tusiyaruhusu...

 

9 years ago

Habarileo

Bulembo aonya udini na ukabila

MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo, ameonya juu ya siasa za udini na ukabila kwenye kampeni na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua hatua dhidi ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Habarileo

Udini, ukabila vyatajwa kuua Saccos Kibaha

IMEELEZWA kuwa baadhi ya Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) kwenye Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, vimekufa kutokana na baadhi yao kuchagua viongozi kwa kuzingatia udini na ukabila.

 

11 years ago

Habarileo

Mbatia ahofia udini, ukabila NCCR-Mageuzi

MWENYEKITI wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ameonya juu ya `virusi’ vya udini, ukabila na ukanda vilivyoanza kukinyemelea chama hicho na kutaka wanachama kuepuka dhambi hiyo. Aidha, ameonya kuwa chama hicho ni sehemu ndogo tu ya nchi, hivyo ni hatari kuanza kukumbatia mambo hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Makinda aonya kuhusu udini, ukabila nchini

Spika Anne Makinda amesema endapo Watanzania wataendekeza itikadi za udini na ukabila, Taifa litagawanyika na hakuna atakayenusurika na machafuko.

 

10 years ago

StarTV

Wananchi waishio pembezoni watahadharishwa juu ya Volcano.

Na Magesa Magesa,

Arusha.

 

Wananchi wanaoishi pembezo mwa mlima Meru mkoani Arusha wametakiwa kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa viashiria vya kulipuka kwa volcano katika mlima huo.

 

Tahadhari hiyo imetolewa na wadau wa utekelezaji wa mradi wa kimataifa wa kudhibiti majanga unaotekelezwa katika nchi zaidi ya mia moja duniani ikiwemo Tanzania ambapo inaelezwa kuwa Mlima Meru una volcano ambayo miaka ya nyuma iliwahi kulipuka na sasa upo uwezekano ikalipuka tena kwa miaka...

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waonywa urais wa fedha, udini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka Watanzania kuwapuuza wanasiasa wenye kutaka kutumia fedha, dini, ukabila na aina yoyote ya ubaguzi kujijengea uhalali na kuombea kura katika uchaguzi mkuu ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani