Wananchi wanataka maji sio ngumi za wanasiasa
SIASA ni uchumi, Siasa ni kilimo, hizi zilikuwa ni kauli mbiu ambazo hayati Mwalimu Nyerere alizianzisha ili kuonesha kuwa huwezi kutenganisha siasa na maendeleo. Siasa ni kila kitu katika maisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s72-c/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s640/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-35.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Katiba ni ya watanzania sio ya wanasiasa wa Tanzania
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video)
Kila watu wana utamaduni wao, kama utamaduni wako ni kusherehekea kwa kukaa na familia yako nyumbani, basi kwingine sio hivyo… na kama umezoea kukutana na sherehe za marafiki na ndugu, basi Peru kuna sherehe za maadui !! Countdown ya siku kuelekea Christmas inazidi kujivuta, zimebaki kama siku tatu tu hivi kuifikia December 25 2015, siku […]
The post Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Habarileo05 Feb
Kinana- Wananchi wanataka mtumishi si mtukufu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ametangaza sifa za mgombea ubunge, atakayerithi jimbo lililoachwa wazi na aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa. Kabla ya kifo chake, Dk Mgimwa alikuwa Mbunge wa Jimbo la Kalenga, wilayani Iringa mkoani Iringa.
11 years ago
Habarileo23 Apr
'Wananchi waulizwe wanataka Serikali ngapi'
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuchukua hatua ya kuwasilisha muswada katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hati ya dharura ili kuifanyia marekebisho Sheria ya Marekebisho ya Katiba.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Op57Wx6ZK5c/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI JAMES MBATIA AWATAKA WANASIASA KUSHINDANA KWA HOJA SIO KULUMBANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6peLjrlPn44/Xl5s0k0QGqI/AAAAAAALgxE/RO-rKJabWGkLfQLnC2mgkJBx-OEMk30NQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amesema kuwa Rais Dk.John Magufuli amewathibitishia vyama vya upinzani nchini Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba utakuwa wa huru na haki.
Mbatia ameyasema hayo leo Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Dk.John Magufuli ambapo katika mazungumzo yao moja ya...