Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-6o6J2-cSbJ0/XlK5odK6uFI/AAAAAAALe7w/Q2Z0S7v58W0iRwfjmMxuvi8__ThrKKcLgCLcBGAsYHQ/s72-c/5ce63347-27d7-4bfd-826d-80c592474e51.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni..
Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xwxIBDqPNHs/Xm57EsnHagI/AAAAAAALjxo/z6JsaEwibYoL_6w7AlP3oM1jBKwB_K3OwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-3.jpg)
Tabora Waanza Kunufaika na Mradi wa Maji Ziwa Victoria
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Mradi wa maji kutoka ziwa Victoria umeanza kufanya kazi na kuwanufaisha wananchi ambao wamepitiwa na mradi huo katika mkoa wa Tabora, na unatarajiwa kunufaisha wakazi wakazi Milioni 1.8 utakapokamilika.
Akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema mradi huo unaogharimu shilingi bilioni 600 utawanufaisha wakazi wa vijiji zaidi...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI ATEMBELEA MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA, KAHAMA,SHINYANGA NA KISHAPU
ZIARA ya naibu waziri ilianzia kwenye chanzo ca maji kitongoji cha Ihelele, kijiji cha Nyanghomango kwa kugagua chanzo, sehemu ya kutibu maji na kusukuma maji kisha kuongea na wananchi wa kijiji cha NysnghomangoAidha alikagua mradi unaoendelea kujengwa wa kupeleka maji miji ya mwadui, Maganzo na Kishapu.
Mradi huu mkubwa wa maji unagharimu shilingi bilioni 254 na una uwezo wa kuzalisha maji lita milioni 120 kwa siku lakini mpaka sasa unazalisha maji lita milioni 80 tu kwa siku na unahudumia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
MWAKA WA FEDHA WA 2020/ 2021 WIZARA YA MAJI KUFANYA USANIFU WA MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWENDA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyQgqhVbuRE/XvB0SBd_cBI/AAAAAAAAlNo/eCQL7XUi-Gcytw-i44JFf675RnsJAekKwCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mqrGAsN7MKU/XvB0SAxv68I/AAAAAAAAlNk/vVFsMAzpvowAmdPfnDJioSP3Rors3LOmgCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9H745EJRBJQ/XvB0W5G6CRI/AAAAAAAAlNs/VDCsFfBo9QUq4zWavfUXK7UEkhcapxlpgCLcBGAsYHQ/s640/4.png)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Usanifu mradi wa maji Ziwa Victoria wakamilika
SERIKALI inaendelea kutafuta fedha za utekelezaji wa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria hadi Tabora baada ya usanifu wa kina kukamilika. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, alieleza hayo bungeni...
10 years ago
Mwananchi28 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2rH3lodSiBhNIDAnIx3K49wIQOX1D1tZgAlYkC-Jsqj8nVr4GoRuVOvdeOuBKLWvEh1l3aQX6Niydh1NSZGeF8/LIMbu.jpg?width=650)
MAGU: INAPAKANA NA ZIWA VICTORIA LAKINI MAJI HAKUNA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA NZEGA TABORA PAMOJA NA WANANCHI WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Rahma mara baada ya kuwasalimia Wananchi katika eneo la Mataa mkoani Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4BsQmB6UDrE/XsU4uixeJmI/AAAAAAALq_s/qrT9yi_YgMkFjMXpPeZdxa0H10Q-eidowCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AMdnGau1HU0/XsU4rm1A_0I/AAAAAAALq_k/8eX19cqr3U4OyMLvUMioNBEepXKh9oI7ACLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Magugu maji yasababisha kukwama kwa safari za majini ziwa victoria
Mimea ya magugu maji aina ya matende imetanda katika eneo la Kigongo wilayani Misungwi mkoani Mwanza kiasi cha kutatiza shughuli za usafiri na usafirishaji katika kivuko hicho ambacho ni kiungo muhimu cha usafiri kati ya mikoa ya Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani.
Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Wananchi wadaiwa kumuua mama, mtoto Tabora