WASANII ‘KUPIKA NGOMA’ KUDAI MASLAHI KATIKA KATIBA MPYA!
Mwandishi wa habari wa Global Publishers, Brighton Masalu, akifanya mahojiano na wasanii Farid Kubanda ‘Fid Q’ (kushoto) na John Simon ‘Joh Makini’ kulia. Mtayarishaji wa wimbo huo, Paul Mattysse ‘P- Funk’, katika pozi muda mfupi kabla ya kuingia studioni.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LuibVj0oezc/UwUfG9TlmhI/AAAAAAAFOJE/fcx1MiG4AhE/s72-c/unnamed+(10).jpg)
wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma
Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba 1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa 2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s72-c/unnamedq.jpg)
TMF yalipongeza Bunge Maalum la Katiba kwa kuingiza katika Katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki
![](http://3.bp.blogspot.com/-BbmjUCn2wdo/VDPyklr3OGI/AAAAAAAGohA/xWlw0ItVFTU/s1600/unnamedq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1QnHdZP0ORA/VDPyk49W4_I/AAAAAAAGohE/Qxdq1YztkaA/s1600/unnamedq2.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Kura ya maoni mwanzo wa kudai Katiba Mpya’
>Wakati Serikali ikihaha kuhakikisha inaandika historia mpya kwa kupitisha Katiba Inayopendekezwa Aprili 30, mwakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo – Bisimba amesema siku hiyo itakuwa mwanzo wa Watanzania kudai Katiba Mpya.
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
MBOWE ASEMA MOTO WA KUDAI KATIBA MPYA HAUZIMIKI
Mwenyekiti wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema moto wa kudai Katiba mpya hautazimwa, kwani kitakachotokana na vikao vya Bunge hilo vinavyoendelea mjini
DODOMA BATILI
Mbowe aliyasema hayo jana katika mazungumzo maalumu na NIPASHE kuhusu mwitikio wa wito wa Ukawa kwa Rais Jakaya Kikwete, kusitisha Bunge hilo mpaka utakapopatikana mwafaka kati ya makundi mawili yaliyotokana nalo kugawanyika.
“Hoja ya msingi ni kwamba, vikao...
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Makamba: Katiba Mpya iwatambua wasanii nchini
 Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema angependa kuona nafasi ya wasanii ikiwa ni pamoja na kulindwa ka haki zao, inatajwa kwenye Katiba Mpya.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow†ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
10 years ago
GPLWAZIRI FENELLA MUKANGARA AWATAKA WASANII WAIELIMISHE JAMII KUHUSU KATIBA MPYA
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya wadau kutoka sekta mbalimbali za wizara hiyo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania