WAZIRI FENELLA MUKANGARA AWATAKA WASANII WAIELIMISHE JAMII KUHUSU KATIBA MPYA
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya wadau kutoka sekta mbalimbali za wizara hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 May
Waziri Fenella Mukangara akutana na Mmiliki wa Startimes
![Star1](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/y0wck-z4-qleKC4_DrcL6uS7Rm6bfCyqZ2Sfbrl7ZL8vAbAck999PlwOn2_dgUDTwzSVe1EZ1OO6mAgP3NDT0WUvN8V5aqGi3sMcOCkMHzs1hKKN4AL3U_I=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (kushoto) akielezea jambo kwa Mmiliku wa Startimes Bw. I MR. Pang alipotembelea ofini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star3.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/XSmO1FkFMqgVRMwvCj8nYlyUwEPTZvyon9CG9XlO-u4nC6lf9GhOfvtrJD1wgvntYWHtCjBp4PPckID5UYF2iGWqgSN18n5WWuFCPDrVTDsqt3wp8aXXmI2_=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star3..jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (katikati) akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa kikao chao na mmiliki wa Startime Bw.Pang (kushoto) alipotembelea ofoini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star4. (1)](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/I2EQCeQqiHlYCSUg6qevTHpELgwzamA6Vbx4nWTYGl9JqLtv4_Aam6sVBAa7bOFV5c6us8tj4XM9HmNweWUIzt_0JX4CbZU81sxVEZ3LeG_MVT69q7wRD3AteJU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star4.-1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dkt. Fenella Mukangara aahidi kuijenga Kimbamba mpya
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt. Fenella Mukangara katika mikutano ya kampeni.
Wananchi wakimsikiliza Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la kibamba Dkt. Fenella Mukangara.
Na Jimmy Kagaruki, Kibamba
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara amesema atalifanya jimbo hilo kuwa la kisasa kwa muda wa miaka mitano ijayo.
Dkt. Fenella ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Kibamba kwenye kata ya Saranga.
Akihutubia...
10 years ago
VijimamboWaziri Fenella Mukangara kufunga Mashindano ya Proin Women Taifa Cup leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Du_nSoJANrE/VM0zHy-UdoI/AAAAAAAAeZ0/RubM458PKsw/s1600/IMG-20150101-WA0044.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T-XSV2RcU3Q/VPGlH94LXaI/AAAAAAAHGfc/osWjOoF7MmM/s72-c/1.jpg)
Waziri Fenella akutana na wasanii nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-T-XSV2RcU3Q/VPGlH94LXaI/AAAAAAAHGfc/osWjOoF7MmM/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e-jEQw7WChs/VPGlH6HqHcI/AAAAAAAHGfg/D7pt-J1uPFQ/s1600/2.jpg)
11 years ago
MichuziKAIMU KATIBU MTENDAJI WA BARAZA LA SANAA TANZANIA AZINDUA CD YA WASANII KUHUSU KATIBA MPYA
10 years ago
CloudsFM24 Feb
Nay Wa Mitego awataka wasanii kutoa misaada kwa jamii
“Unajua sisi ni binadamu na kama umefanikiwa kwa kiasi fulani basi na wewe unatakiwa kutoa msaada kidogo ulichokua nacho, hivyo nawaasa wasanii wenzangu kujitolea,” alisema.
Msanii huyo amefanikiwa kufanya vizuri nchini kupitia nyimbo zake kama Akadumba, Nakula ujana na nyinginezo.
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt Fenella Mukangara ahaidi kujenga zahanati kwa wakazi wa Kwembe
Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Bw Juma Simba Gaddafi akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi Dkt Fenella Mukangara(kulia) na mgombea udiwani kwa tiketi chama hicho pia Bw Abeid jumanne kikoti(kushoto) wakati wa kampeni jana kwembe Dar es Salaam.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa kata ya Kwembe wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi...