Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Fenella Mukangara akutana na Mmiliki wa Startimes

Star1
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (kushoto) akielezea jambo kwa Mmiliku wa Startimes Bw. I MR. Pang alipotembelea ofini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.Star3.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (katikati) akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa kikao chao na mmiliki wa Startime Bw.Pang (kushoto) alipotembelea ofoini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.Star4. (1)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE.

 Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dkt Fenella Mukangara akiwa kwenye mazungumzo na wakazi  wa jimbo la kibamba(kwa Yusuph) wakati alipotembelea vikundi vya vicoba ili kuwaskiliza kero zao ili kujua matatizo wanayowakabili kwa ujumla. Mkazi wa kata ya Msigani(aliyesimama) akielezea matatizo yanayowakabili wakazi wa eneo ilo na kumwomba mgombea wa Jimbo ilo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt Fenella Mukangara kuyatafutia ufumbuzi atakapopata nafasi...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Fenella Mukangara kufunga Mashindano ya Proin Women Taifa Cup leo

Hatimaye leo fainali ya Proin Women Taifa Cup itafanyika katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi kwa kuzikutanisha timu za Pwani na Temeke huku Mshindi wa Kwanza katika Michuano hiyo ataondoka na Kitita cha Shilingi za Kitanzania Milioni 3 huku mshindi wa Pili akiondoka na Milioni 1 na Mshindi wa Tatu akiondoka na Kitita cha Milioni 1.Mashindano ya Women Taifa Cup ni mashindano ya kwanza kufanyika Nchini Tanzania huku yakiwa yamedhaminiwa na Kampuni ya Proin Promotions na Azam.Katika fainali...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI FENELLA MUKANGARA AWATAKA WASANII WAIELIMISHE JAMII KUHUSU KATIBA MPYA

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya wadau kutoka sekta mbalimbali za wizara hiyo.…

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga

 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa eneo hilo wakati akipokuwa akitangaza sera za chama chake na kuwaomba wampigie kura katika uchaguzi ujao pamoja na madiwani wengine sita wa chama cha mapinduzi.Dkt Fenella alitaja vipaumbele vyake katika jimbo hilo ambavyo ni Maji,Elimu,Afya pamoja na ajira kwa Vijana na kuwasihi wakazi hao kuchagua maendeleo bora yatayopatikana ndani ya CCM.Mwenyekiti  wa CCM mkoa wa Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Fenella akutana na wasanii nchini

Waziri wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akimueleza jambo Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Francis Michael wakati wa mkutano na wasanii uliofanyika katika ukumbi wa uwanja mpya wa Taifa leo Jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Idara ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akiongea na wasanii nchini na kuwaeleza kuhusu umuhimu wa sekta hiyo kushiriki kikamilifu katika masuala ya kitaifa hasa katika kipindi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. Fenella Mukangara aahidi kuijenga Kimbamba mpya

Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt. Fenella Mukangara katika mikutano ya kampeni.

Wananchi wakimsikiliza Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la kibamba Dkt. Fenella Mukangara.

Na Jimmy Kagaruki, Kibamba

Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara amesema atalifanya jimbo hilo kuwa la kisasa kwa muda wa miaka mitano ijayo.

Dkt. Fenella ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Kibamba kwenye kata ya Saranga.

Akihutubia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt Fenella Mukangara ahaidi kujenga zahanati kwa wakazi wa Kwembe

IMG_2403 (600x350)

Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Bw Juma Simba Gaddafi akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi Dkt Fenella Mukangara(kulia) na mgombea udiwani kwa tiketi chama hicho pia Bw Abeid jumanne kikoti(kushoto) wakati wa kampeni jana kwembe Dar es Salaam.

IMG_2440 (600x338)

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa kata ya Kwembe wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi...

 

11 years ago

Michuzi

Dk. Fenella Mukangara kuzindua Siku ya Msanii hoteli ya Sea Cliff, Dar es salaam

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo Dk. Fenella Mukangara keshokutwa anatarajiwa kuzindua Siku ya Msanii Tanzania katika sherehe zitakazofanyika katika hoteli ya Sea Cliff Dar es Salaam. Akizungumza jana mjini Dar es Salaam, Ofisa Habari wa Mradi wa Siku ya Msanii Tanzania, Petter Mwendapole, alisema Dk. Mukangara amepewa jukumu hilo kutokana wizara yake kuhusika moja kwa moja sanaa. “Waziri amekubali jukumu la kuwa mgeni rasmi kwa sababu wizara yake ndio mama wa wasanii, na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani