Dk. Fenella Mukangara kuzindua Siku ya Msanii hoteli ya Sea Cliff, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-1sns13TIZd0/U432nUlVFbI/AAAAAAAFnbA/Oh1MWYDO-CY/s72-c/unnamed+(68).jpg)
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo Dk. Fenella Mukangara keshokutwa anatarajiwa kuzindua Siku ya Msanii Tanzania katika sherehe zitakazofanyika katika hoteli ya Sea Cliff Dar es Salaam. Akizungumza jana mjini Dar es Salaam, Ofisa Habari wa Mradi wa Siku ya Msanii Tanzania, Petter Mwendapole, alisema Dk. Mukangara amepewa jukumu hilo kutokana wizara yake kuhusika moja kwa moja sanaa. “Waziri amekubali jukumu la kuwa mgeni rasmi kwa sababu wizara yake ndio mama wa wasanii, na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V-tL0Vagw4k/U26FccUJshI/AAAAAAAFgtA/mhqFlnN69Yk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
balozi seif aagiza usimamizi wa makubaliano kati ya mwekezaji wa hoteli ya sea cliff na wanakijiji
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R8UhH3VgVMg/UuubFjAt3jI/AAAAAAAFJ7E/C-t4BmrIYQ8/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Dkt. Fenella Mukangara akabidhi vifaa vya Michezo kwa Shule za Sekondari jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-R8UhH3VgVMg/UuubFjAt3jI/AAAAAAAFJ7E/C-t4BmrIYQ8/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DFL0ACzzCDs/UuubGXDw0KI/AAAAAAAFJ7M/GCdrcjBeWv8/s1600/unnamed+(44).jpg)
11 years ago
MichuziMSD YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA SIKU YA MALARIA DUNIANI KATIKA HOTELI YA HYATT JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
TheCitizen14 Sep
Stoltz wins Z’bar Sea Cliff monthly Mug golf tourney
11 years ago
Michuzi14 May
Waziri Fenella Mukangara akutana na Mmiliki wa Startimes
![Star1](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/y0wck-z4-qleKC4_DrcL6uS7Rm6bfCyqZ2Sfbrl7ZL8vAbAck999PlwOn2_dgUDTwzSVe1EZ1OO6mAgP3NDT0WUvN8V5aqGi3sMcOCkMHzs1hKKN4AL3U_I=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (kushoto) akielezea jambo kwa Mmiliku wa Startimes Bw. I MR. Pang alipotembelea ofini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star3.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/XSmO1FkFMqgVRMwvCj8nYlyUwEPTZvyon9CG9XlO-u4nC6lf9GhOfvtrJD1wgvntYWHtCjBp4PPckID5UYF2iGWqgSN18n5WWuFCPDrVTDsqt3wp8aXXmI2_=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star3..jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (katikati) akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa kikao chao na mmiliki wa Startime Bw.Pang (kushoto) alipotembelea ofoini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star4. (1)](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/I2EQCeQqiHlYCSUg6qevTHpELgwzamA6Vbx4nWTYGl9JqLtv4_Aam6sVBAa7bOFV5c6us8tj4XM9HmNweWUIzt_0JX4CbZU81sxVEZ3LeG_MVT69q7wRD3AteJU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star4.-1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dkt. Fenella Mukangara aahidi kuijenga Kimbamba mpya
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt. Fenella Mukangara katika mikutano ya kampeni.
Wananchi wakimsikiliza Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la kibamba Dkt. Fenella Mukangara.
Na Jimmy Kagaruki, Kibamba
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara amesema atalifanya jimbo hilo kuwa la kisasa kwa muda wa miaka mitano ijayo.
Dkt. Fenella ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Kibamba kwenye kata ya Saranga.
Akihutubia...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt Fenella Mukangara ahaidi kujenga zahanati kwa wakazi wa Kwembe
Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Bw Juma Simba Gaddafi akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi Dkt Fenella Mukangara(kulia) na mgombea udiwani kwa tiketi chama hicho pia Bw Abeid jumanne kikoti(kushoto) wakati wa kampeni jana kwembe Dar es Salaam.
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(CCM) Dkt. Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa kata ya Kwembe wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi...