balozi seif aagiza usimamizi wa makubaliano kati ya mwekezaji wa hoteli ya sea cliff na wanakijiji
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-tL0Vagw4k/U26FccUJshI/AAAAAAAFgtA/mhqFlnN69Yk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameuagiza Uongozi wa Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Unguja pamoja na Wilaya ya Kaskazini “B” kusimamia ipasavyo makubaliano yaliyofikiwa kati ya Muwekezaji wa Hoteli ya Kimataifa ya Sea Cliff iliyopo katika Kijiji cha Kama na Wananchi wa Vijiji vinavyoizunguuka Hoteli hiyo. Amesema makubaliano hayo yalifikiwa na pande hizo mbili kufutia Vikao mbali mbali vilivyokuwa vikiendelea vya kutafuta maridhiano ambapo yeye binafsi alikuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1sns13TIZd0/U432nUlVFbI/AAAAAAAFnbA/Oh1MWYDO-CY/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Dk. Fenella Mukangara kuzindua Siku ya Msanii hoteli ya Sea Cliff, Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XpQS66_Lzm4/U3DNiRpaU2I/AAAAAAAFhHo/mNivWXP3Lqg/s72-c/unnamed+(37).jpg)
balozi seif akagua nyumba iliyoporomoka vuga, akutana na mwekezaji toka india
9 years ago
TheCitizen14 Sep
Stoltz wins Z’bar Sea Cliff monthly Mug golf tourney
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s72-c/190.jpg)
BALOZI SEIF AKAGUA ATHARI ZA MOTO KATIKA HOTELI YA KITALII YA KARAFUU BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s1600/190.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UkcJrIo81_o/VTR6YImY8XI/AAAAAAAA7AI/iunpdvGHNYk/s1600/192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y9j168nr0nE/VTR6YO01o7I/AAAAAAAA6_o/109D7Y1lM7A/s1600/199.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nEmKJKmLF9k/VTR6ZDQvpAI/AAAAAAAA6_w/flOd9LCFNpc/s1600/215.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUSuOC5kOUQ/VTR6ZXgu2gI/AAAAAAAA6_0/3B497iXIHdg/s1600/220.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WKoKeSMF0NE/VTR6aVMM42I/AAAAAAAA7AE/AM8DLWEd-qE/s1600/235.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-271rv0TJ3Z8/UxM_vZzlOBI/AAAAAAAFQjI/WaXdW-Lxz4Q/s72-c/unnamed+(100).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Hoteli Mpya ya Daraja la Saba ya Grand Hayatt Zaznzibar
10 years ago
GPLWANAKIJIJI KILOMBERO KUMBURUZA MAHAKAMANI MWEKEZAJI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vjPP182QyvE/VGxe0m2EdKI/AAAAAAAGyLY/ixl_AI1NgXs/s72-c/537.jpg)
Balozi Seif Ali afungua Mkutano wa Kimataifa wa Tano wa Ushirikiano kati ya China na Afrika
![](http://3.bp.blogspot.com/-vjPP182QyvE/VGxe0m2EdKI/AAAAAAAGyLY/ixl_AI1NgXs/s1600/537.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tmk2haEZLeQ/VGxdU8Z0jpI/AAAAAAAGyLA/ePr3J0Bxvkk/s1600/505.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkbCwVnFGl0/VGxdUu8b_OI/AAAAAAAGyK8/1lZKlsY8f3k/s1600/490.jpg)
10 years ago
StarTV08 May
Malinzi aagiza usimamizi mechi za mwisho VPL
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amewaagiza wasimamizi wa vituo vya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuhakikisha sheria na taratibu zote za mechi zinafuatwa.
Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu huu 2014/2015 inafikia tamati kesho (Mei 9, 2015) ambapo timu zote 14 zitakuwa viwanjani katika mechi ambazo ndizo zitakazotoa hatma ya timu zinazoshuka daraja.
Mechi hizo zitakuwa kati ya Ndanda na Yanga (Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara), JKT Ruvu na Simba (Uwanja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dHcrNavZkd8/XrAIhjhc7SI/AAAAAAALpDE/PvuVZKH_e4Ey4_41veLQ-NCcqFZcUb0SQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0120.jpg)
BANDARI KAVU KWALA MBIONI KUKAMILIKA ,NDITIYE AAGIZA USIMAMIZI KAMILIFU
NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye amesema ,ujenzi wa mradi wa bandari kavu Kwala,Kibaha mkoani Pwani ni utekelezaji wa maagizo ya Rais dkt.John Magufuli ya kupunguza msongamano kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Kutokana na hilo ,Nditiye ameitaka Bodi ya Bandari kusimamia kikamilifu na kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa asilimia 100 ifikapo mwezi Juni 2020. Aliyasema hayo ,wakati wa mapokezi ya Treni ya kwanza iliyoleta makasha 20 kwenye...