Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BANDARI KAVU KWALA MBIONI KUKAMILIKA ,NDITIYE AAGIZA USIMAMIZI KAMILIFU


NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye amesema ,ujenzi wa mradi wa bandari kavu Kwala,Kibaha mkoani Pwani ni utekelezaji wa maagizo ya Rais dkt.John Magufuli ya kupunguza msongamano kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Kutokana na hilo ,Nditiye ameitaka Bodi ya Bandari kusimamia kikamilifu na kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa asilimia 100 ifikapo mwezi Juni 2020. Aliyasema hayo ,wakati wa mapokezi ya Treni ya kwanza iliyoleta makasha 20 kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAKONTENA YAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDARI KAVU YA KWALA.


Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV

TRENI  ya pili ya mizigo yenye jumla ya makontena 20 imewasili katika Bandari Kavu ya Kwala iliyopo Kibaha mkoani Pwani kutoka Bandari ya Dar es Salaam na kufanya jumla ya makontena yaliyofikishwa katika bandari hiyo kufikia  49.

Kuanza kwa zoezi la kupokea makontena hayo kumekuja baada ya kukamilika kwa sehemu ya mradi huo ambapo jumla ya hekta 5.5 zimewekwa zege na reli kwa ajili ya kupokea kontena na kwamba eneo ni sehemu ya hekta 60 zitakazojengwa na litakuwa...

 

5 years ago

Michuzi

NDITIYE ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA BANDARI YA TANGA








Serikali Kutumia Shilingi Bilioni 172 Kuboresha Bandari Hiyo

Itakuwa na Uwezo wa Kuhudumia Meli Yenye Uzito wa Tani 35,000



Na Prisca Ulomi, WUUM, Tanga

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ameridhishwa na kasi ya upanuzi wa Bandari ya Tanga baada ya kushuhudia kazi inayoendelea kufanyika kwenye bandari hiyo wakati wa ziara yake mkoani humo

Nditiye amesema kuwa tayari Serikali imepanga kutumia shilingi bilioni 172 kwa ajili ya kupanua bandari hiyo kwa kuongeza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mradi wa magadi mbioni kukamilika

Serikali kupitia Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) wapo mbioni kukamilisha utekelezaji mradi wa ujenzi wa Kiwanda cha magadi Soda katika Bonde la Engaruka wilayani Monduli katika Mkoa wa Arusha.

 

9 years ago

Mtanzania

Tamthilia ya Mama Kubwa mbioni kukamilika

mtitu-3NA GEORGE KAYALA

TAMTHILIA mpya iliyopewa jina la Mama Kubwa inayoandaliwa na Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, ipo mbioni kukamilika baada ya kuandaliwa kwa muda mrefu na kuna uwezekano wa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu.

Akizungumza na MTANZANIA jana mmoja wa waandaaji hao ambaye pia ni mmiliki wa kampuni hiyo, William Mtitu, alisema anaamini kazi hiyo itakuwa nzuri kwani waigizaji wamejitahidi kuonyesha uhalisia wakati wa kucheza tamthilia hiyo ambayo itakuwa ni ya kufungia...

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira: Ilani ya CCM iko mbioni kukamilika

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira aliyepewa jukumu la kuandaa Ilani ya CCM kwa ushirikiano na timu ya watu 23 wa chama hicho itakayotumia kwenye kampeni za uchaguzi wa mwaka 2015 hadi 2020, amejitokeza na kusema kazi hiyo ipo ukingoni kukamilika.

 

10 years ago

GPL

UJENZI WA BARABARA YA MSIMBAZI KARIAKOO MBIONI KUKAMILIKA

Katapila likionekana kusambaza mchanga katika barabara ya Msimbazi Kariakoo.
Gari la kushindilia mchanga likionekana kazini.
Gari likimwaga maji sehemu iliyomalizika kuwekewa mchanga tayari kwa kuweka lami.…

 

11 years ago

Michuzi

SERA YA DIASPORA IKO MBIONI KUKAMILIKA - PINDA

AZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema rasimu ya Sera ya Diaspora iko kwenye hatua za mwisho za maandalizi na muda si mrefu itaingizwa kwenye utaratibu wa Kiserikali ili hatimaye iweze kuwasilishwa kwenye Baraza la Mawaziri.
Akizungumza na Watanzania wanaoishi Uingereza kwenye mkutano uliofanyika ubalozi wa Tanzania jijini London mwishoni mwa wiki, Waziri Mkuu alisema mchakato wa kuandaa rasimu hiyo ulihusisha wadau wengi kwa kadri ilivyowezekana ili kupata wigo mpana wa suala zima la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi bomba jipya Ruvu Chini mbioni kukamilika

UJENZI wa bomba jipya kutoka mtambo wa Ruvu Chini kwenda matenki yaliyoko Chuo cha Ardhi, Dar es Salaam unakaribia kukamilika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yaahidi kufufua Bandari Kavu ya Isaka

Mgombea mwenza wa urais (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Tano itafufua Bandari Kavu ya Isaka ili kurejesha ajira zaidi ya 10,000 zilizopotea baada utendaji wake kusuasua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani