Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDITIYE ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA BANDARI YA TANGA








Serikali Kutumia Shilingi Bilioni 172 Kuboresha Bandari Hiyo

Itakuwa na Uwezo wa Kuhudumia Meli Yenye Uzito wa Tani 35,000



Na Prisca Ulomi, WUUM, Tanga

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ameridhishwa na kasi ya upanuzi wa Bandari ya Tanga baada ya kushuhudia kazi inayoendelea kufanyika kwenye bandari hiyo wakati wa ziara yake mkoani humo

Nditiye amesema kuwa tayari Serikali imepanga kutumia shilingi bilioni 172 kwa ajili ya kupanua bandari hiyo kwa kuongeza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KINANA ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA MITAMBO MIPYA YA MAJI RUVU CHINI

  KaTtibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Maji wa MCAT (Millenium Challenge Acount Tanzania,Bwana William Christian kuhusianana namna maji yanavyokusanywa na kusambazwa maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Pwani na Jiji la Dar,kati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar,Mh.Mecky Sadicky akisikiliza.  KaTtibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwaongoza viongozi wa CCM Wilaya ya Kinondoni kutembelea mitambo mipya baada ya upanuzi wa mitambo ya maji ya Ruvu Chini, wilayani...

 

5 years ago

Michuzi

BANDARI KAVU KWALA MBIONI KUKAMILIKA ,NDITIYE AAGIZA USIMAMIZI KAMILIFU


NA MWAMVUA MWINYI,PWANI .
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye amesema ,ujenzi wa mradi wa bandari kavu Kwala,Kibaha mkoani Pwani ni utekelezaji wa maagizo ya Rais dkt.John Magufuli ya kupunguza msongamano kwenye Bandari ya Dar es Salaam.
Kutokana na hilo ,Nditiye ameitaka Bodi ya Bandari kusimamia kikamilifu na kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa asilimia 100 ifikapo mwezi Juni 2020. Aliyasema hayo ,wakati wa mapokezi ya Treni ya kwanza iliyoleta makasha 20 kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti

>Upanuzi wa Gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam, uliosababisha kung’olewa kwa aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Omary Nundu, umeendelea kupata vikwazo baada ya kampuni ya Kichina iliyopewa zabuni ya upanuzi huo kutofika kwa kazi hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Eneo lakwamisha upanuzi wa Bandari Dar

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema uhaba wa ardhi kwa ajili ya upanuzi wa bandari, ni changamoto katika ufanisi wa kazi zao.

 

5 years ago

Michuzi

Dkt Kigwangalla aridhishwa na kasi ya ukarabati wa Miundombinu ya Utalii.


Mwandishi wetu NCAA.

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameridhishwa na kasi ya ukarabati wa barabara za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) zilizokuwa zimeathiriwa na mvua na kuwahakikishia wadau wa utalii kuwa eneo hilo liko salama kwa wageni kufanya utalii bila shida yoyote.

Dkt. Kigwangalla ametoa kauli hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya NCAA ambapo ametumia fursa hiyo kutembelea kreta ya Ngorongoro iliyokuwa na changamoto ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UCHUKUZI ARIDHISHWA NA MAENDLEO YA UJENZI WA JENGO JIPYA LA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA)

 Waziri wa Uchukuzi, Samweli Sitta (wa pili kutoka kulia) akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe, wakati akitoa maelezo ya maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la Mamlaka hiyo leo mchana. Wa kwanza Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban Mwinjaka. Mbunifu majenzi  kutoka kampuni ya K &M Acrplans (T) ltd, ambao ndio washauri wa ujenzi wa Jengo hilo, Arch. Albert Mwambafu, akitoa maelezo kwa Waziri wa Uchukuzi, Samuel...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ARIDHISHWA NA KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA


Naibu Waziri wa Nishati, akipata taarifa wa hali ya umeme ya Wilaya ya Liwale kutoka kwa Meneja Tanesco wa Wilaya ya Liwale Festo Nhembo wakati akiwa kwenye ziara ya kazi ya ukaguzi wa kazi ya usambazaji umeme.Naibu Waziri wa Nishati,Subira Mgalu,akiongea na wananchi wa kata ya Liwale mjini kabla ya kuwasha umeme kwenye shule ya msingi ya kata hiyo, kulia Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MABULA ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA MARA




Jengo la hospitali ya Rufaa mkoa wa Mara lililopo eneo la Kwangwa Musoma likiwa katika hatua za ukamilishaji. (PICHA NA MUNIR SHEMWETA WIZARA YA ARDHI).

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa mradi wa Hospitali ya Mkoa wa Mara Injia Kazoba Wilson (kushoto) wakati akitoka kukagua maendelezo ya ujenzi wa hospitali hiyo jana Musoma mkoani Mara. Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt Vincent Naano Anney.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani