Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti
>Upanuzi wa Gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam, uliosababisha kung’olewa kwa aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Omary Nundu, umeendelea kupata vikwazo baada ya kampuni ya Kichina iliyopewa zabuni ya upanuzi huo kutofika kwa kazi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jan
Eneo lakwamisha upanuzi wa Bandari Dar
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema uhaba wa ardhi kwa ajili ya upanuzi wa bandari, ni changamoto katika ufanisi wa kazi zao.
5 years ago
MichuziNDITIYE ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA BANDARI YA TANGA
Serikali Kutumia Shilingi Bilioni 172 Kuboresha Bandari Hiyo
Itakuwa na Uwezo wa Kuhudumia Meli Yenye Uzito wa Tani 35,000
Na Prisca Ulomi, WUUM, Tanga
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ameridhishwa na kasi ya upanuzi wa Bandari ya Tanga baada ya kushuhudia kazi inayoendelea kufanyika kwenye bandari hiyo wakati wa ziara yake mkoani humo
Nditiye amesema kuwa tayari Serikali imepanga kutumia shilingi bilioni 172 kwa ajili ya kupanua bandari hiyo kwa kuongeza...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mazungumzo ya Sudan-K bado kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Zanzibar ,ukuza ji utalii bado kizungumkuti
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s72-c/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
MATUMIZI BAYOGESI BADO KIZUNGUMKUTI MINDUTULIENI, PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s400/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
Na Nyamiti Kayora
Kwa miaka zaidi ya 30 Margreth Ibrahimu, mama wa watoto 7, amekuwa akitumia kuni kupikia na mara chache sana mkaa.
Kijiji cha Mindutulieni kilichopo kata ya Lugoba, wilayani Chalinze Mkoani Pwani anachokaa Magreth tangua kuanzishwa kwake mwaka 1980 hakijawahi kuwa na nishati nyingine ya kupikia zaidi ya kuni na mkaa.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati Tanzania Bara ya mwaka 2016 inaonesha kuwa kaya 7 kati ya kumi mkoani Pwani zinatumia kuni na mkaa kama...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Upanuzi wa JNIA hatihati