MATUMIZI BAYOGESI BADO KIZUNGUMKUTI MINDUTULIENI, PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s72-c/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
Na Nyamiti Kayora
Kwa miaka zaidi ya 30 Margreth Ibrahimu, mama wa watoto 7, amekuwa akitumia kuni kupikia na mara chache sana mkaa.
Kijiji cha Mindutulieni kilichopo kata ya Lugoba, wilayani Chalinze Mkoani Pwani anachokaa Magreth tangua kuanzishwa kwake mwaka 1980 hakijawahi kuwa na nishati nyingine ya kupikia zaidi ya kuni na mkaa.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati Tanzania Bara ya mwaka 2016 inaonesha kuwa kaya 7 kati ya kumi mkoani Pwani zinatumia kuni na mkaa kama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mazungumzo ya Sudan-K bado kizungumkuti
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Zanzibar ,ukuza ji utalii bado kizungumkuti
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...
10 years ago
StarTV01 Apr
Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s72-c/4.jpg)
MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AOHP80hrTZ0/VaZw1Sd_-RI/AAAAAAAAfRE/HVBs313oB0M/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-udTwNvoBskk/VaZwtyMGESI/AAAAAAAAfQ0/LDtaR956Vyg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wyqIn18Rwpk/VaZw0slLC8I/AAAAAAAAfQ8/JAvyl1wMz7g/s640/3.jpg)
TUNAMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.
Ikumbukwe kupitia Blogs na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s72-c/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
WANAWAKE NA WATOTO WA KIKE BADO WAPO NYUMA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s640/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkWanawake na watoto wa kike wanaelezwa kama kundi ambalo bado halijanufaika ipasavyo na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kiwanda cha bayogesi chazinduliwa Dar
KAMPUNI inayouza gesi katika Afrika Mashariki ya Simgas, jana ilizindua kiwanda chake cha kutengeneza baogesi kilichopo barabara ya Pugu katika Makao Makuu ya Kampuni mwenza ya Silafrica.