Mazungumzo ya Sudan-K bado kizungumkuti
Awamu mpya ya mazungumzo yanayolenga kumaliza mapigano ya ya miezi sita nchini Sudan Kusini imeahirishwa mara moja baada ya serikali na waasi kutoa mamasharti mapya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Zanzibar ,ukuza ji utalii bado kizungumkuti
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s72-c/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
MATUMIZI BAYOGESI BADO KIZUNGUMKUTI MINDUTULIENI, PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s400/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
Na Nyamiti Kayora
Kwa miaka zaidi ya 30 Margreth Ibrahimu, mama wa watoto 7, amekuwa akitumia kuni kupikia na mara chache sana mkaa.
Kijiji cha Mindutulieni kilichopo kata ya Lugoba, wilayani Chalinze Mkoani Pwani anachokaa Magreth tangua kuanzishwa kwake mwaka 1980 hakijawahi kuwa na nishati nyingine ya kupikia zaidi ya kuni na mkaa.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati Tanzania Bara ya mwaka 2016 inaonesha kuwa kaya 7 kati ya kumi mkoani Pwani zinatumia kuni na mkaa kama...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kizungumkuti cha mapatano Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Sudan.K: Duru ya pili ya mazungumzo
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
Sudan Kusini wakubali mazungumzo