Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/--6X1aAjxjag/VleFURTD9VI/AAAAAAAAXSE/_FLBoaOTXEw/s72-c/WANANCHI-NA-MBOWE-620x308.jpg)
CHADEMA WASHINDA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA RPC MWANZA KUHUSU MAZISHI YA ALPHONSE MAWAZO
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Escrow bado kizungumkuti
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mazungumzo ya Sudan-K bado kizungumkuti
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Zanzibar ,ukuza ji utalii bado kizungumkuti
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s72-c/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
MATUMIZI BAYOGESI BADO KIZUNGUMKUTI MINDUTULIENI, PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VztDRx9QeRg/Xs6LQm8NshI/AAAAAAALrx4/A3T4BVpPZacGpxCXAY1Rs8lwrCF2ymnfACLcBGAsYHQ/s400/a84ca832-fb1c-4878-b23d-4a8ea18ef93c.jpg)
Na Nyamiti Kayora
Kwa miaka zaidi ya 30 Margreth Ibrahimu, mama wa watoto 7, amekuwa akitumia kuni kupikia na mara chache sana mkaa.
Kijiji cha Mindutulieni kilichopo kata ya Lugoba, wilayani Chalinze Mkoani Pwani anachokaa Magreth tangua kuanzishwa kwake mwaka 1980 hakijawahi kuwa na nishati nyingine ya kupikia zaidi ya kuni na mkaa.
Kwa mujibu wa Ripoti ya Hali ya Upatikanaji wa Nishati Tanzania Bara ya mwaka 2016 inaonesha kuwa kaya 7 kati ya kumi mkoani Pwani zinatumia kuni na mkaa kama...
9 years ago
CHADEMA Blog19 Nov
RATIBA RASMI YA MAZISHI YA ALPHONCE MAWAZO
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Hukumu mvutano mazishi ya mawazo kesho
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-06DrAZ7Zh_0/VleH1S5hp7I/AAAAAAAAXSQ/rGCIfeLX6Z8/s72-c/maxresdefault.jpg)
Ratiba ya shughuli ya utoaji heshima za mwisho na mazishi ya Kamanda Mawazo