Ratiba ya shughuli ya utoaji heshima za mwisho na mazishi ya Kamanda Mawazo
![](http://3.bp.blogspot.com/-06DrAZ7Zh_0/VleH1S5hp7I/AAAAAAAAXSQ/rGCIfeLX6Z8/s72-c/maxresdefault.jpg)
Kesho Siku ya Ijumaa, Novemba 27 saa 2 asubuhi, mwili wa Mpiganaji na Kiongozi wetu Alphonce Mawazo utachukuliwa Hospitali ya Bugando kuelekea nyumbani kwa Baba yake mdogo, eneo la Nyegezi-Swea kwa ajili heshima za familia kabla ya kuelekea Viwanja vya Furahisha ambapo Viongozi waandamizi wa UKAWA, wakiongozwa wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, Mgombea Urais Edward Lowassa, Waziri
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog19 Nov
RATIBA RASMI YA MAZISHI YA ALPHONCE MAWAZO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w7Hn_DL6BkM/U7z_hrllsOI/AAAAAAAFzwU/a8KQrj3tTjU/s72-c/Screen+Shot+2014-07-09+at+11.34.52+AM.png)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-luT6EVNGZyA/VkdDdWV6IZI/AAAAAAAAXGk/epglqPUXwzg/s72-c/images.png)
KAMANDA ALPHONSE MAWAZO AUAWA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-b4RdmlEv1_s/VlCAf2EcguI/AAAAAAAAXJ8/DOJw-tibZ8I/s72-c/maxresdefault.jpg)
Viongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge wawasili kumuaga Kamanda Mawazo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-GakCDLVpI8c/VlCFtDsnI9I/AAAAAAAAXKM/fuSfDOx-E2I/s72-c/FB_IMG_1448116123927.jpg)
JESHI LA POLISI LAPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA KUAGA MWILI WA ALPHONSE MAWAZO
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Hukumu mvutano mazishi ya mawazo kesho
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...
11 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mandela amiminiwa heshima za mwisho
10 years ago
Michuzi10 Oct