Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA RASMI YA MAZISHI YA ALPHONCE MAWAZO

RATIBA RASMI YA MAZISHI YA ALPHONCE MAWAZO ALIYEKUA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA GEITA.Waheshimiwa Viongozi nitumie fursa hii kuwajulisha ratiba ya mazishi ya Mhe. Kamanda A. C. Mawazo. Kama ifuatavyo:1. Tarehe 21/11/2015 kuaga mwili jijini MWANZA uwanja wa Furahisha na muda SAA 8 -12 jioni.2.Tarehe 22/11/2015 kuaga mwili Geita, saa 6-10 jioni.3.Tarehe 23/11/2015 ni Mazishi Kijiji Chikobe

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CHADEMA Blog

Ratiba ya shughuli ya utoaji heshima za mwisho na mazishi ya Kamanda Mawazo

Kesho Siku ya Ijumaa, Novemba 27 saa 2 asubuhi, mwili wa Mpiganaji na Kiongozi wetu Alphonce Mawazo utachukuliwa Hospitali ya Bugando kuelekea nyumbani kwa Baba yake mdogo, eneo la Nyegezi-Swea kwa ajili heshima za familia kabla ya kuelekea Viwanja vya Furahisha ambapo Viongozi waandamizi wa UKAWA, wakiongozwa wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, Mgombea Urais Edward Lowassa, Waziri

 

9 years ago

StarTV

Mahakama kuu Mwanza yaahirisha kesi Kuaga Mwili Wa Alphonce Mawazo

Mahakama kuu Kanda ya Mwanza imeahirisha kesi iliyofunguliwa na familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Geita Marehemu Alphonce Mawazo kupinga amri ya Polisi kuzuia mwili wake usiagwe jijini Mwanza.

Kesi hiyo namba 11 ya mwaka 2015 ambayo imefunguliwa mchana wa leo ikisimamiwa na wakili James Milya na John Malya kutoka Chadema na itatajwa tena Novemba 25 mwaka huu

Mapema asubuhi mahakama kuu kanda ya Mwanza imeruhusu maombi ya baba mdogo wa...

 

9 years ago

StarTV

  Kifo Cha Alphonce Mawazo Mwili wake kuagwa leo Furahisha Mwanza

 

Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza na baadae kusafirishwa kupelekwa mkoani Geita kwa maandalizi ya mazishi.

Mwili huo ulitakiwa kuagwa jumamosi iliyopita zoezi ambalo lilikwama baada ya zuio la jeshi la polisi mkoani Mwanza kabla ya mahakama kuu kutengua pingamizi hilo mapema jana.

Viongozi wa CHADEMA wamekutana na wanahabari jijini Mwanza kuwaeleza...

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI

_________MAREHEMU DONALD MAX___________

NA.

MUDA

TUKIO

MHUSIKA

MAHALI

1.

12:00 - 02:00

Familia kuandaa Mwili wa Marehemu

Familia

Nyumbani

2.

02:00 - 04:00

Taratibu za Kimila

Familia

Nyumbani

3.

04:00 - 05:00

Chai/Chakula

Familia

Nyumbani

4.

04:00 - 05:00

§  Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

Katibu wa Bunge

Karimjee



§  Viongozi wa Vyama vya Siasa,  Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao

...

 

9 years ago

Mwananchi

Hukumu mvutano mazishi ya mawazo kesho

Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kesho mchana inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na ndugu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo wakipinga zuio la polisi kuchukua na kuaga mwili wa Mawazo kwa maelezo ya kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani


Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Ratiba mazishi ya Dkt. Shija

Dr-William-Shija

Marehemu Dkt. William Shija enzi za uhai wake.

Ratiba ya Mazishi Dr. Shija one.docx by moblog

 

11 years ago

GPL

RATIBA YA MAZISHI YA MAALIM GURUMO

Mzee Muhidin Maalim Gurumo enzi za uhai wake. -LEO saa 10 jioni kutakuwa na kisomo nyumbani kwa marehemu Tabata-Kisukulu jijini Dar es Salaam.
-Kesho saa 3 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwake kwa ajili ya sala.
-Saa 4 asubuhi safari ya kuelekea kijiji cha Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kwa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani