Kizungumkuti cha mapatano Sudan Kusini
Mazungumzo ya kupatanisha pande zinazozozana katika mgogoro wa Sudan Kusini, yameendelea kukwama waasi wakileta vikwazo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini
Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yanatarajiwa kuanza tena leo mjini Addis Ababa Ethiopia.Je yatafaulu?
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Pigo kwa mapatano Sudan Kusini
Matumaini ya kuafikia makubaliano ya amani nchini Sudan Kusini yamepata pigo kufuatia tangazo kuwa rais hatahudhuria
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Kizungumkuti cha tatizo la ardhi Afrika ya Kusini
Licha ya hayo, serikali yake ya Chama cha African National Congress (ANC), inabidi sasa ilipatie ufumbuzi suala gumu la umilikaji ardhi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CGWwFxEqLd7gX4643x-Hp-OMwOUHhjcXHzTlXRRH25e6Gw-*9qfgCq0jwFpkdb0KoTLoEpc6WbvawWFsPFes14X3E5u8bV23/sp4.jpg?width=750)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...
10 years ago
Vijimambo22 Jan
UTIAJI SAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA KUKIUNGANISHA CHAMA CHA SPLM CHA SUDAN KUSINI JIJINI ARUSHA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-wWcLkGh8qCs%2FVMElE0BZ4kI%2FAAAAAAAArWQ%2FacOaNzdf1IM%2Fs1600%2Fsp%252B(1).jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mazungumzo ya Sudan-K bado kizungumkuti
Awamu mpya ya mazungumzo yanayolenga kumaliza mapigano ya ya miezi sita nchini Sudan Kusini imeahirishwa mara moja baada ya serikali na waasi kutoa mamasharti mapya.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mauaji Sudan Kusini UN wakaa kikao cha dharura
>Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limefanya kikao cha dharura kuhusu Sudan Kusini, baada ya wanajeshi wa Umoja huo kuuawa katika ghasi nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania