Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kizungumkuti cha tatizo la ardhi Afrika ya Kusini

Licha ya hayo, serikali yake ya Chama cha African National Congress (ANC), inabidi sasa ilipatie ufumbuzi suala gumu la umilikaji ardhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa Vodacom kutatua tatizo la Mawasiliano chini ya ardhi Afrika ya Kusini

Tatizo la kupata mawasiliano ya simu kwenye vituo vya usafiri vilivyojengwa chini ya ardhi nchini Afrika Kusini limekuwa ni tatizo sugu kwa muda mrefu.
Kituo maarufu cha Gautrain ambacho kimekuwa kikitumiwa na wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi,wafanyakazi na watalii kwa muda mrefu tangia kifunguliwe mwaka 2010 kimekuwa kikikabiliwa na tatizo la mtandao ambao ulisababisha wasafiri wanaokitumia kituo hicho kushindwa kuwasiliana kwa njia ya simu na barua pepe. 
Kampuni ya Vodacom imejitosa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yanatarajiwa kuanza tena leo mjini Addis Ababa Ethiopia.Je yatafaulu?

 

11 years ago

BBCSwahili

Kizungumkuti cha mapatano Sudan Kusini

Mazungumzo ya kupatanisha pande zinazozozana katika mgogoro wa Sudan Kusini, yameendelea kukwama waasi wakileta vikwazo

 

11 years ago

BBCSwahili

Tetemeko la ardhi latikisa Afrika Kusini

Tetetemeko la ardhi limetikisa Afrika Kusini, na kumuua mtu mmoja pamoja na kusababisha wachimba migodi kukwama katika machimbo

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, NHC mafunzoni Afrika Kusini

Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kuambatana na uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakisikiliza maelezo kutoka kwa Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Tumaini Thika jana. Kamati hiyo iko katika ziara ya mafunzo nchini humo.

Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira uliofuatana na...

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA, NHC MAFUNZONI AFRIKA KUSINI‏

Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kuambatana na uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakisikiliza maelezo kutoka kwa Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Tumaini Thika jana. Kamati hiyo iko katika ziara ya mafunzo nchini humo.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, NHC mafunzoni nchini Afrika Kusini

Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kuambatana na uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakisikiliza maelezo kutoka kwa Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Tumaini Thika wakati walipofika ubalozini hapo. Kamati hiyo iko katika ziara ya mafunzo nchini humo.Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi ,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo ameonya mipango ya serikali ya Afrika Kusini kunyakua ardhi pasipo fidia kuwa ''utaleta madhara mabaya sana'' kwa uchumi na taifa kwa ujumla.

 

9 years ago

Mwananchi

Tatizo la umeme nchini lawa kizungumkuti

Uwezo wa kuzalisha umeme kwenye vituo vya Nyumba ya Mungu, Hale na New Pangani Falls nchini umeshuka kutoka asilimia 100 hadi kufikia 15 kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo ya baadhi ya wananchi kuchepusha mkondo wa maji wa Mto Pangani ambao ni tegemeo kubwa kwa uzalishaji wa vituo hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani