Mtandao wa Vodacom kutatua tatizo la Mawasiliano chini ya ardhi Afrika ya Kusini
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qm6rq6ikumE/VZU8OiKJmKI/AAAAAAAHmbM/5Cj8Hm_q3UA/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.png)
Tatizo la kupata mawasiliano ya simu kwenye vituo vya usafiri vilivyojengwa chini ya ardhi nchini Afrika Kusini limekuwa ni tatizo sugu kwa muda mrefu.
Kituo maarufu cha Gautrain ambacho kimekuwa kikitumiwa na wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi,wafanyakazi na watalii kwa muda mrefu tangia kifunguliwe mwaka 2010 kimekuwa kikikabiliwa na tatizo la mtandao ambao ulisababisha wasafiri wanaokitumia kituo hicho kushindwa kuwasiliana kwa njia ya simu na barua pepe.
Kampuni ya Vodacom imejitosa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXp7ahK1HXzF8cBLSX67PQHg*N4kXCW*wCSQyLL1rd-YriDXOSg6ZTSbUWSI1Ng8D4H-DnxRxy4MxGi2llkzanpB/url.png)
MTANDAO WA VODACOM KUTATUA TATIZO LA MAWASILIANO CHINI YA ARDHI
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Kizungumkuti cha tatizo la ardhi Afrika ya Kusini
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s72-c/download.jpg)
VODACOM NI KAMPUNI BORA YENYE MTANDAO WA UHAKIKA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s1600/download.jpg)
Vodacom imetangazwa kutokana na utafiti huo uliofanywa na magazeti hayo katika hafla ya kutangaza makampuni bora ilifanyika jana katika hoteli ya Sandton mjini...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Tetemeko la ardhi latikisa Afrika Kusini
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, NHC mafunzoni Afrika Kusini
Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati, Abdulkarim Esmail Hassan Shah (Mafia), Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angela Kairuki na kuambatana na uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakisikiliza maelezo kutoka kwa Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Tumaini Thika jana. Kamati hiyo iko katika ziara ya mafunzo nchini humo.
Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi , Maliasili na Mazingira uliofuatana na...
11 years ago
MichuziUbalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-L0RhBwIPLZ0/U9uoZwDUUNI/AAAAAAAF8QA/rPb7yE3X_vY/s72-c/wpid-Vodacom-M-pesa.jpg)
Vodacom yarekebisha mfumo wa M-Pesa kwa soko la Afrika ya Kusini
![](http://4.bp.blogspot.com/-L0RhBwIPLZ0/U9uoZwDUUNI/AAAAAAAF8QA/rPb7yE3X_vY/s1600/wpid-Vodacom-M-pesa.jpg)
M-Pesa ilianzishwa Kenya mwaka 2007 na leo hii inatumiwa na watu zaidi ya milioni 18 katika nchi zipatazo 13 kwa ajili ya kutuma pesa na za kibenki kwa kutumia simu ya mkononi.M-Pesa ilianzishwa Afrika ya Kusini mwaka 2011 ikiwa na wateja wa mwanzoni zaidi ya milioni moja lakini hadi leo haijaonyesha kukua kwa soko kama ilivyo kwa nchi za Kenya...