Vodacom yarekebisha mfumo wa M-Pesa kwa soko la Afrika ya Kusini
![](http://4.bp.blogspot.com/-L0RhBwIPLZ0/U9uoZwDUUNI/AAAAAAAF8QA/rPb7yE3X_vY/s72-c/wpid-Vodacom-M-pesa.jpg)
Kampuni ya Vodacom imerekebisha mfumo wa M-Pesa kwa soko la Afrika Kusini ili kuleta mafanikio kama yaliyopatikana katika nchi za Kenya na Tanzania.
M-Pesa ilianzishwa Kenya mwaka 2007 na leo hii inatumiwa na watu zaidi ya milioni 18 katika nchi zipatazo 13 kwa ajili ya kutuma pesa na za kibenki kwa kutumia simu ya mkononi.M-Pesa ilianzishwa Afrika ya Kusini mwaka 2011 ikiwa na wateja wa mwanzoni zaidi ya milioni moja lakini hadi leo haijaonyesha kukua kwa soko kama ilivyo kwa nchi za Kenya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
11 years ago
MichuziUbalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nb5UQQh3DbU/VP2W7YR4PsI/AAAAAAAHJE0/m0OAq2feAG0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Qm6rq6ikumE/VZU8OiKJmKI/AAAAAAAHmbM/5Cj8Hm_q3UA/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.png)
Mtandao wa Vodacom kutatua tatizo la Mawasiliano chini ya ardhi Afrika ya Kusini
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qm6rq6ikumE/VZU8OiKJmKI/AAAAAAAHmbM/5Cj8Hm_q3UA/s640/unnamed%2B%25282%2529.png)
Kituo maarufu cha Gautrain ambacho kimekuwa kikitumiwa na wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi,wafanyakazi na watalii kwa muda mrefu tangia kifunguliwe mwaka 2010 kimekuwa kikikabiliwa na tatizo la mtandao ambao ulisababisha wasafiri wanaokitumia kituo hicho kushindwa kuwasiliana kwa njia ya simu na barua pepe.
Kampuni ya Vodacom imejitosa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s72-c/download.jpg)
VODACOM NI KAMPUNI BORA YENYE MTANDAO WA UHAKIKA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9t2W8xLZxLI/ViDMB-FwhEI/AAAAAAAIASk/HiFcEShGnuw/s1600/download.jpg)
Vodacom imetangazwa kutokana na utafiti huo uliofanywa na magazeti hayo katika hafla ya kutangaza makampuni bora ilifanyika jana katika hoteli ya Sandton mjini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s72-c/download.jpg)
VODACOM YAPATA TUZO YA KUWA MWAJIRI BORA NCHINI AFRIKA YA KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fd0XmNYdrrM/Vg5VlShu4KI/AAAAAAAH8Vc/R8C3iTyHBWE/s1600/download.jpg)
11 years ago
GPLUBALOZI WA AFRIKA YA KUSINI NA VODACOM WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA NELSON MANDELA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.
Na Mwandishi wetu
Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...