Upanuzi wa JNIA hatihati
Awamu ya kwanza ya upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam (JNIA) ipo katika hatihati na huenda isikamilike kwa wakati kutokana na Serikali kushindwa kutoa kiasi cha Sh89 bilioni ilizoahidi katika bajeti yake ya mwaka 2013/14.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 May
Kaseja hatihati
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Upanuzi Barabara ya Morogoro ni janga
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Mbatia hatihati Vunjo
“NDOA isiyo rasmi kisiasa” baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani cha Tanzania
Paul Sarwatt
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Strabag katika hatihati
11 years ago
Mwananchi25 May
Bajeti Kuu hatihati
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Kombe la Mapinduzi hatihati
NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.
Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.
Alisema ZFA ina usajili wake...
9 years ago
MichuziUPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA