Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upanuzi wa JNIA hatihati

Awamu ya kwanza ya upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam (JNIA) ipo katika hatihati na huenda isikamilike kwa wakati kutokana na Serikali kushindwa kutoa kiasi cha Sh89 bilioni ilizoahidi katika bajeti yake ya mwaka 2013/14.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kaseja hatihati

Hatma ya kipa Juma Kaseja, kuendelea kuichezea Yanga ipo mikononi mwa mashabiki wa klabu hiyo kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi yaliyowasilishwa kwa viongozi wa timu hiyo.

 

5 years ago

Raia Mwema

Hatihati ya Magufuli

SAA 24 kabla ya Dk.

Waandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Upanuzi Barabara ya Morogoro ni janga

Kinyume na matarajio ya wengi, mradi wa Upanuzi wa Barabara ya Morogoro, kilomita 21 kutoka katikati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Kimara umekuwa kero kubwa kwa wananchi wanaotumia vyombo vya usafiri kupitia katika barabara hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Upanuzi wa Bandari bado kizungumkuti

>Upanuzi wa Gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam, uliosababisha kung’olewa kwa aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Omary Nundu, umeendelea kupata vikwazo baada ya kampuni ya Kichina iliyopewa zabuni ya upanuzi huo kutofika kwa kazi hiyo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Mbatia hatihati Vunjo

“NDOA isiyo rasmi kisiasa” baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani cha Tanzania

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Mwananchi

Strabag katika hatihati

Siku chache baada ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kutoa tamko la kuzifuta kampuni zisizowasilisha taarifa zake za hesabu za mwaka, imebainika kuwa kampuni ya ujenzi ya kimataifa ya Strabag ni miongoni mwa zitakazopitiwa na rungu hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti Kuu hatihati

>Wakati Serikali ikiwa taabani kifedha, wabunge wengi, wakiwamo wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wanapanga kukwamisha Bajeti Kuu ya Serikali, inayofikia zaidi ya Sh19 trilioni.

 

9 years ago

Mtanzania

Kombe la Mapinduzi hatihati

2NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.

Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.

Alisema ZFA ina usajili wake...

 

9 years ago

Michuzi

UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA

Mafundi wakiendelea na  Upanuzi wa barabara ya Mwenge Morocco jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Hii ni baada ya Rais kuelekeza fedha  za maadhimisho ya siku ya uhuru ya Disemba 9 zitumike katika upanuzi wa barabara hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani