Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseja hatihati

Hatma ya kipa Juma Kaseja, kuendelea kuichezea Yanga ipo mikononi mwa mashabiki wa klabu hiyo kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi yaliyowasilishwa kwa viongozi wa timu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Raia Mwema

Hatihati ya Magufuli

SAA 24 kabla ya Dk.

Waandishi Wetu

 

9 years ago

Mtanzania

Kombe la Mapinduzi hatihati

2NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.

Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.

Alisema ZFA ina usajili wake...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mbatia hatihati Vunjo

“NDOA isiyo rasmi kisiasa” baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani cha Tanzania

Paul Sarwatt

 

11 years ago

Mwananchi

Bajeti Kuu hatihati

>Wakati Serikali ikiwa taabani kifedha, wabunge wengi, wakiwamo wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wanapanga kukwamisha Bajeti Kuu ya Serikali, inayofikia zaidi ya Sh19 trilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Strabag katika hatihati

Siku chache baada ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kutoa tamko la kuzifuta kampuni zisizowasilisha taarifa zake za hesabu za mwaka, imebainika kuwa kampuni ya ujenzi ya kimataifa ya Strabag ni miongoni mwa zitakazopitiwa na rungu hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Upanuzi wa JNIA hatihati

Awamu ya kwanza ya upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam (JNIA) ipo katika hatihati na huenda isikamilike kwa wakati kutokana na Serikali kushindwa kutoa kiasi cha Sh89 bilioni ilizoahidi katika bajeti yake ya mwaka 2013/14.

 

11 years ago

Habarileo

Katiba mpya hatihati kupatikana

Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole SendekaWABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameilalamikia Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, kuwa inaweza kuchangia kusipatikane Katiba mpya.

 

10 years ago

Habarileo

Nkurunziza hadharani, uchaguzi hatihati

Rais Pierre Nkurunziza wa BurundiKWA mara ya kwanza tangu kuwapo jaribio la kumpindua Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kiongozi huyo jana alijitokeza hadharani kuzungumza na waandishi wa habari.

 

11 years ago

Mwananchi

Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa

>Hatima ya Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kujadiliwa katika Mkutano wa 15 wa Bunge iko mikononi mwa Serikali, baada ya Kamati za Kudumu za Bunge kuupinga na kupendekeza urejeshwe katika kamati za kisekta ili ujadiliwe upya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani