Kaseja hatihati
Hatma ya kipa Juma Kaseja, kuendelea kuichezea Yanga ipo mikononi mwa mashabiki wa klabu hiyo kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi yaliyowasilishwa kwa viongozi wa timu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Kombe la Mapinduzi hatihati
NA MOHAMED MHARIZO, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu nchini (TFF), limepanga kuzuia timu zake kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, kutokana na Chama cha Mpira wa Miguu visiwani humo (ZFA), kukabiliwa na kesi mahakamani.
Rais wa wa TFF, Jamal Malinzi, amesema Dar es Salaam jana katika mahojiano maalumu na MTANZANIA kuwa wana kila sababu ya kuzizuia timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, kwenda Zanzibar kushiriki Kombe la Mapinduzi.
Alisema ZFA ina usajili wake...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Mbatia hatihati Vunjo
“NDOA isiyo rasmi kisiasa” baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na chama cha upinzani cha Tanzania
Paul Sarwatt
11 years ago
Mwananchi25 May
Bajeti Kuu hatihati
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Strabag katika hatihati
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Upanuzi wa JNIA hatihati
11 years ago
Habarileo10 Mar
Katiba mpya hatihati kupatikana
WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameilalamikia Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, kuwa inaweza kuchangia kusipatikane Katiba mpya.
10 years ago
Habarileo18 May
Nkurunziza hadharani, uchaguzi hatihati
KWA mara ya kwanza tangu kuwapo jaribio la kumpindua Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kiongozi huyo jana alijitokeza hadharani kuzungumza na waandishi wa habari.
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa