Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa
>Hatima ya Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kujadiliwa katika Mkutano wa 15 wa Bunge iko mikononi mwa Serikali, baada ya Kamati za Kudumu za Bunge kuupinga na kupendekeza urejeshwe katika kamati za kisekta ili ujadiliwe upya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Hatimaye muswada Baraza la Vijana kujadiliwa
HATIMAYE muswada wa uanzishwaji wa Sheria ya Baraza la Vijana wa Mwaka 2013 uliowasilishwa na Mbunge wa Ubungo John Mnyika, utajadiliwa katika mkutano wa 16 na 17 wa Bunge, utakaonza...
10 years ago
Habarileo08 Nov
TRA yapongezwa muswada wa VAT
MTANDAO wa Policy Forum umeipongeza Serikali na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia mapendekezo ya wadau katika uandaaji wa Muswada wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) wa mwaka 2014.
11 years ago
Mwananchi30 May
Muswada wa VAT waongeza muda wa Bunge
11 years ago
Mwananchi27 May
Lugola awashia moto Muswada wa VAT
10 years ago
Vijimambo
MUSWADA BINAFSI WA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA KUJADILIWA BUNGENI TAREHE 31 MACHI 2015

Nashukuru wote ambao mmekuwa mkifuatilia hatma ya muswada binafsi wa Baraza la Vijana la Taifa niliouwasilisha tarehe 31 Oktoba 2013.
Vijana na wadau wa maendeleo ya vijana mzingatie kwamba muswada huo hatimaye umepangwa kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Bungeni Jumanne tarehe 31 Machi 2015 katika Mkutano wa 19 wa Bunge.
Muswada huo ulisomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa 14 wa Bunge tarehe 21 Disemba 2013. Maoni kutoka kwa wadau yalikusanywa Oktoba 2014 na Kamati ya Kudumu ya...
10 years ago
BBCSwahili20 May
Wahamiaji kujadiliwa,Malaysia
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni
BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa
11 years ago
Habarileo19 Aug
Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.