Hatimaye muswada Baraza la Vijana kujadiliwa
HATIMAYE muswada wa uanzishwaji wa Sheria ya Baraza la Vijana wa Mwaka 2013 uliowasilishwa na Mbunge wa Ubungo John Mnyika, utajadiliwa katika mkutano wa 16 na 17 wa Bunge, utakaonza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b_JqehLy7M8/VQ2YPBHCYkI/AAAAAAAASA8/XHVPjFacQGg/s72-c/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
MUSWADA BINAFSI WA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA KUJADILIWA BUNGENI TAREHE 31 MACHI 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_JqehLy7M8/VQ2YPBHCYkI/AAAAAAAASA8/XHVPjFacQGg/s1600/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
Nashukuru wote ambao mmekuwa mkifuatilia hatma ya muswada binafsi wa Baraza la Vijana la Taifa niliouwasilisha tarehe 31 Oktoba 2013.
Vijana na wadau wa maendeleo ya vijana mzingatie kwamba muswada huo hatimaye umepangwa kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Bungeni Jumanne tarehe 31 Machi 2015 katika Mkutano wa 19 wa Bunge.
Muswada huo ulisomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa 14 wa Bunge tarehe 21 Disemba 2013. Maoni kutoka kwa wadau yalikusanywa Oktoba 2014 na Kamati ya Kudumu ya...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Bunge lapitisha Muswada wa Baraza la Vijana
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana wa mwaka 2015, uliowasilishwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
‘Toeni maoni muswada baraza la vijana’
KATIBU Ofisi ya Mbunge wa Ubungo, Aziz Himbuka, amewataka wadau mbalimbali kutoa maoni yao juu ya kuboreshwa muswada wa kuunda Baraza la Vijana la Taifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Wadau wajadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania
Muwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Mgaya Ezekiel akichangia wakati wa Semina ya kujadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania wa mwaka 2015, utakaowasilishwa Bungeni Ijumaa ya tarehe 27/03/2015. Semina hii iliyofanyika tarehe 23-24/03/2015 katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma imewakutanisha Wadau, Kamati ya Maendeleo ya Jamii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara(kulia) akifurahia...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a0hB1YznKjw/VYB-qzRiBTI/AAAAAAAHgFg/79Z3bwzmIhk/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Vijana waridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa
Vijana wameridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa na kudai kuwa hiyo ndio njia mojawapo vijana wanaweza kuendeleza shughuli zao za maendeleo .
Wamedai kuwa katika mswada huo vijana wanangazi zao za uongozi kutoka vijijini hadi kitaifa na hali hiyo inakuwa ni rahisi vijana kuwa na uwezo wa kuelezea changamoto zinazowakabili .
Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es salaam na shirika la Restless Development Tanzania – ICS) ...
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Hatimaye Baraza la Madiwani la halmashauri ya manispaa ya Kinondoni laahirishwa rasmi
Rais Mstaafu wa awamu ya pili , Alhaji Ally Hassan Mwinyi, akiwasili kwenye hafla ya kuvunja baraza la madiwani la Manispaa ya Kinondoni. Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni , Yusuph Mwenda.
Na Mwandishi wetu
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeliahirisha rasmi Baraza la Madiwani ambapo mgeni rasmi katika kuahirisha Baraza hilo alikuwa mheshimiwa Rais mstaafu wa Tanzania Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi.
Shughuli hizo zilianza kwa kikao cha baraza cha kawaida cha kupokea...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Hatimaye vijana wanaosafiri kwa Baiskeli Kutoka Mbeya kuelekea Dar wavuka salama Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
Hii ilikuwa tarehe 15.06.2015 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro aliwaaga rasmi vijana hao ili kuanza safari yao kutoka Mbeya kwenda Dar.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
Safari yao ikiwa imeanza na hapa mmoja wa vijana hao wakiwa safarini na hapa akonesha umahili wa utaalam wa kuchezea Baiskeli maeneo ya Chimala.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
Tarehe 17.06.2015 waliwasili Iringa na kulala hapo kisha asubuhi kuonana na uongozi wa Polisi Mkoani Iringa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
Vijana hawa watatu wakiwa Iringa sasa wanahimiza watu kujiandikisha katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s72-c/a.jpg)
HATIMAYE VIJANA WANAOSAFIRI KWA BAISKERI KUTOKA MBEYA KUELEKEA DAR ES SALAAM WAVUKA SALAMA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)