Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni
BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b_JqehLy7M8/VQ2YPBHCYkI/AAAAAAAASA8/XHVPjFacQGg/s72-c/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
MUSWADA BINAFSI WA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA KUJADILIWA BUNGENI TAREHE 31 MACHI 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_JqehLy7M8/VQ2YPBHCYkI/AAAAAAAASA8/XHVPjFacQGg/s1600/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
Nashukuru wote ambao mmekuwa mkifuatilia hatma ya muswada binafsi wa Baraza la Vijana la Taifa niliouwasilisha tarehe 31 Oktoba 2013.
Vijana na wadau wa maendeleo ya vijana mzingatie kwamba muswada huo hatimaye umepangwa kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Bungeni Jumanne tarehe 31 Machi 2015 katika Mkutano wa 19 wa Bunge.
Muswada huo ulisomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa 14 wa Bunge tarehe 21 Disemba 2013. Maoni kutoka kwa wadau yalikusanywa Oktoba 2014 na Kamati ya Kudumu ya...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Mauaji yazidi kutikisa Kiteto
11 years ago
Tanzania Daima09 May
DC adaiwa kuchochea mauaji Kiteto
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto mkoani Manyara, Martha Umbulla, amedaiwa kuwa chanzo cha kuchochea mauaji ya wakulima na wafugaji. Madai hayo yalitolewa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Mauaji ya Kiteto yalitikisa Bunge
JESHI Polisi linawashikilia watu watano kuhusiana na mauaji katika mapigano kati ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Matui wilayani Kiteto.
Katika mapigano hayo, watu wanne waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Akitoa kauli ya serikali bungeni jana, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mathias Chikawe, alisema mapigano hayo yalitokea juzi katika wilaya hiyo.
Chikawe alisema Jumanne iliyopita katika kijiji hicho, mkulima Hassan Kondeja, mkazi wa Kijiji cha Bwawani, alikwenda katika Kituo cha...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Magufuli: Nachukia mauaji ya Kiteto
*Asema hayupo tayari kuongoza Serikali inayovuja damu
Na Bakari Kimwanga, Kongwa
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amechoka kusikia mauaji ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto.
Mgombea huyo alisema akichaguliwa kuwa rais atashughulika na Mkuu wa Mkoa (RC) na Mkuu wa Wilaya (DC), atakaowateua iwapo mauaji hayo yataendelea.
Alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) atakayeteuliwa anapaswa kujipanga vizuri kusimamia amani katika eneo hilo la sivyo...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Mauaji ya wakulima tena Kiteto
MAPAMBANO kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, yanaendelea kushika kasi na kusababisha watu wanne kupoteza maisha. Hali hiyo ilibainishwa na Katibu wa wakulima wilayani hapa,...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji ya Kiteto, Siha yakome
KWA muda mrefu kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu ugomvi kati ya wakulima na wafugaji wanaogombania maeneo hapa nchini Ugomvi wa pande hizo mbili zimekuwa zikisababisha vifo, majeraha,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HobwrHXn9D0/VGd-CohKN3I/AAAAAAAGxic/jAyTinksJ0o/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
MAUAJI KITETO SASA BASI - SERIKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HobwrHXn9D0/VGd-CohKN3I/AAAAAAAGxic/jAyTinksJ0o/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z9FenSZQuKY/VGd-C_h2SmI/AAAAAAAGxiU/qU1aAYiQiEQ/s1600/unnamed%2B(44).jpg)