Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni
>Wakati macho na masikio ya Watanzania wengi yakielekea mjini Dodoma kesho katika vikao vya Bunge vinayotarajia kujadili Muswada wa Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, Jukwaa la Wakristo nchini limeitaka Serikali isitishe kujadili marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria ya Kiislam ya mwaka 1964.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Muswada wa Kadhi balaa, Jukwaa la Wakristo laupinga
10 years ago
Habarileo12 Mar
Mahakama ya Kadhi yarejeshwa bungeni
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali, likiwemo suala la Mahakama ya Kadhi, utawasilishwa katika Bunge lijalo ukiwa na maudhui ya kuangalia jinsi ya kuendesha masuala ya imani ya dini ya Kiislamu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NqLJvGs0VNQ/VNR-f0EwSZI/AAAAAAAAn4U/fd6lRz2ooXE/s72-c/Waislamu.jpg)
Muswada wa Mahakama ya Kadhi Waondolewa Bungeni
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqLJvGs0VNQ/VNR-f0EwSZI/AAAAAAAAn4U/fd6lRz2ooXE/s1600/Waislamu.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Serikali yauchomoa Muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Maaskofu wa Jukwaa la Wakristo wamekoleza moto kuikataa Katiba
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Mchakato wa Katiba
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni
BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b_JqehLy7M8/VQ2YPBHCYkI/AAAAAAAASA8/XHVPjFacQGg/s72-c/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
MUSWADA BINAFSI WA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA KUJADILIWA BUNGENI TAREHE 31 MACHI 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_JqehLy7M8/VQ2YPBHCYkI/AAAAAAAASA8/XHVPjFacQGg/s1600/CHADEMADirectorofInformationandUbungolegislatorJohnMnyika1.jpg)
Nashukuru wote ambao mmekuwa mkifuatilia hatma ya muswada binafsi wa Baraza la Vijana la Taifa niliouwasilisha tarehe 31 Oktoba 2013.
Vijana na wadau wa maendeleo ya vijana mzingatie kwamba muswada huo hatimaye umepangwa kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Bungeni Jumanne tarehe 31 Machi 2015 katika Mkutano wa 19 wa Bunge.
Muswada huo ulisomwa kwa mara ya kwanza katika Mkutano wa 14 wa Bunge tarehe 21 Disemba 2013. Maoni kutoka kwa wadau yalikusanywa Oktoba 2014 na Kamati ya Kudumu ya...