Mahakama ya Kadhi yarejeshwa bungeni
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali, likiwemo suala la Mahakama ya Kadhi, utawasilishwa katika Bunge lijalo ukiwa na maudhui ya kuangalia jinsi ya kuendesha masuala ya imani ya dini ya Kiislamu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NqLJvGs0VNQ/VNR-f0EwSZI/AAAAAAAAn4U/fd6lRz2ooXE/s72-c/Waislamu.jpg)
Muswada wa Mahakama ya Kadhi Waondolewa Bungeni
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqLJvGs0VNQ/VNR-f0EwSZI/AAAAAAAAn4U/fd6lRz2ooXE/s1600/Waislamu.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Serikali yauchomoa Muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mahakama ya Kadhi Utata
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Mahakama ya Kadhi yazikwa
![Samia Hassan Suluhu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Samia-Hassan-Suluhu.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan
Rachel Mrisho, Dodoma
SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo lilizua mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge la Bunge Maalumu la Katiba na kuundiwa kamati ndogo iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu Hasan, limezikwa rasmi.
Hali hiyo imejidhihirisha jana kutokana na kutozungumziwa katika uwasilishaji wa maoni ya walio wengi, wakati kamati hizo zikiwasilisha maoni yake juu ya sura ya tisa na 10.
Imedaiwa...
10 years ago
Habarileo08 Feb
Mahakama ya Kadhi yasogezwa mbele
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameeleza sababu za Bunge kushindwa kujadili miswada kadhaa, ikiwemo uliohusu Marekebisho ya Sheria ya Kiislamu, inayotambua Mahakama ya Kadhi.
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mahakama ya Kadhi yawekwa kiporo
SUALA la Mahakama ya Kadhi limeleta mjadala mkali katika majadiliano na wabunge wameamua suala hilo lisiingizwe kwenye Katiba. Mjadala huo mkali uliibuka katika Kamati namba Saba ilipojadili sura ya Nne ya kwenye rasimu hiyo inayozungumzia juu ya uhuru wa imani ya dini ambapo Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hassan Ngwilizi alisema baada ya mjadala mkali wamekubaliana kutoingizwa kwenye Katiba.
10 years ago
Habarileo10 Sep
Mahakama ya Kadhi yawagawa wabunge
MAHAKAMA ya Kadhi imetikisa mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba jana. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa idadi kubwa ya wajumbe ambao walipata fursa ya kuchangia waliendelea kuwashawishi wenzao wakubali mahakama hiyo iingizwe kwenye Katiba kwani ni chombo muhimu kwa waumini wa dini ya Kiislamu.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Pinda aiokoa Mahakama ya Kadhi