Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba
Jukwaa la Wakristo Tanzania limewataka waumini wake kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuisoma Katiba Inayopendekezwa na kujitokeza kuikataa kwa kupiga kura ya “hapanaâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Maaskofu wa Jukwaa la Wakristo wamekoleza moto kuikataa Katiba
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Mchakato wa Katiba
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Muswada wa Kadhi balaa, Jukwaa la Wakristo laupinga
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MH. SITTA ATEMBELEWA NA JUKWAA LA KATIBA NA JUKWAA LA WAHARIRI MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncWsUxrZikk/U-vLsPQ6EdI/AAAAAAAF_To/cx_qkowHZvI/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
BAVICHA: Watanzania kataeni Katiba pendekezwa mwakani
BARAZA la Vijana la Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limewataka Watanzania kuunganisha nguvu pamoja kuikataa Katiba Mpya iliyopendekezwa, kwani haina maslahi ya wananchi badala yake imewapendelea watuhumiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s72-c/IMG_5381.jpg)
JUKWAA LA KATIBA WATANGAZA KUSULUHISHA MGOGORO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s1600/IMG_5381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYAWEZLZzDg/U1uAmdyUXnI/AAAAAAAA5Ws/DW1XJFss-WU/s1600/IMG_5402.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akWdgh1cWfw/U1uAk_wp02I/AAAAAAAA5Wk/cTVkKXh6jnU/s1600/IMG_5393.jpg)
Waandishi wa Habari wakifuatilia. --- Na...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Tamko la jukwaa la Katiba kuhusu Bunge Maalum la Katiba linaloanza Dodoma Agosti 5, 2014
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa tamko kuhusu Bunge la Katiba litakaloanza Agosti 5, 2014 ambapo walishauri Bunge hilo likae wiki mbili badala ya miezi miwili kama ilivyopangwa ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za Umma. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa Kamati na Uongozi Jukata Omar Ali Omar, Meneja Habari na Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Kenny...
11 years ago
Habarileo07 Jul
Maaskofu wanena Bunge la Katiba
BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa pili kuhusu Katiba mpya kwa Watanzania, ambao umetuma ujumbe mzito kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukisisitiza Katiba ijayo iwe ya kuleta mema, kuimarisha amani na utulivu wa nchi.