Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAVICHA: Watanzania kataeni Katiba pendekezwa mwakani

BARAZA la Vijana la Taifa la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limewataka Watanzania kuunganisha nguvu pamoja kuikataa Katiba Mpya iliyopendekezwa, kwani haina maslahi ya wananchi badala yake imewapendelea watuhumiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kuisoma na kuielewa katiba pendekezwa.

Na Emmanuel Makuliga

Mwanza

Askofu wa jimbo kuu la Mwanza Jude Thaddeus Ruwa’ichi ameitahadharisha jamii kuwa haipaswi kutumia ushabiki, mkumbo, hasira wala upendeleo kuipigia kura ya ndiyo au hapana Katiba inayopendekezwa.

Kauli ya Askofu Ruwa’ichi inakuja zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Katiba hiyo kupigiwa kura na wananchi.

Wito huo umetolewa katika Ibada ya Misa Takatifu ya kutoa daraja la ushemasi kwa mafrateli watano wa Jimbo Kuu la Mwanza.

Askofu Ruwa’ichi anawasisitiza...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtandao wa Wanawake na Katiba wataja sababu za kuvutiwa na Katiba pendekezwa

Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Dk. Ave Maria Semakafu akizungumza katika mkutano huo na wahariri wa vyombo vya habari. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Dk. Ave Maria Semakafu akizungumza katika mkutano huo na wahariri wa vyombo vya habari.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Mtandao wa Wanawake na Katiba pamoja na TAMWA wakifuatilia mada mbalimbali zinazowasilishwa. Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Mtandao wa Wanawake na Katiba pamoja na TAMWA wakifuatilia mada mbalimbali zinazowasilishwa.Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA Valerie Msoka akiwasilisha mada katika mkutano huo wa Mtandao wa Wanawake na Katiba na TAMWA. Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA Valerie Msoka akiwasilisha mada katika mkutano huo wa Mtandao wa Wanawake na Katiba na TAMWA.Mmoja wa wahariri wa vyombo vya habari akiuliza swali katika kipindi cha majadiliano mara baada ya uwasilishaji mada. Mmoja wa wahariri wa vyombo vya habari akiuliza swali katika kipindi cha majadiliano mara baada ya uwasilishaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba

Jukwaa la Wakristo Tanzania limewataka waumini wake kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuisoma Katiba Inayopendekezwa na kujitokeza kuikataa kwa kupiga kura ya “hapana”.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba pendekezwa yapigiwa ‘debe’

Mratibu wa Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (Ulingo), Dk Ave Maria Semakafu amesema harakati za wanawake nchini za kutaka haki zao zitambuliwe kwenye Katiba zitafanikiwa iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa.

 

10 years ago

StarTV

Hatimaye Katiba pendekezwa yapatikana.

KATIBA Inayopendekezwa kwa wananchi, imepatikana jana na kukamilisha sehemu kubwa ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba, ulioanzia katika ukusanyaji wa maoni ya wananchi. Jumatano ijayo, Oktoba 8, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, anatarajiwa kukabidhi katiba hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.

Hofu ya kutopatikana kura za kutosha za wajumbe kutoka Zanzibar, iliyokuwepo kwa muda mrefu tangu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA: Hatutaacha kukosoa Katiba pendekezwa

BARAZA la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), limesema kuwa halitaacha kuwaeleza wananchi mapungufu yaliyopo kwenye Katiba Pendekezwa kwani Rais Jakaya Kikwete ndiye aliyeanza kampeni kabla ya wakati ya kuhamasisha wananchi kuipigia kura...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakatoliki watakiwa kuisoma Katiba pendekezwa

WAKRISTO wa dhehebu la Katoliki nchini wametakiwa kuisoma kwa makini Katiba inayopendekezwa kabla ya kupiga kura ya maoni ili kufanya chaguo sahihi. Hayo yalisemwa juzi na Paroko wa Parokia ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBA PENDEKEZWA YAANZA KAIWA PEMBA

BAADHI ya maboksi yenye katiba iliyopendekezwa ambayo Wilaya ya Chake Chake imepatiwa katiba 14925, ambazo zinataka kugaiwa kwa wananchi waliomo ndani ya wilaya hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)MKUU wa Wilaya Ya Chake Chake Pemba, Mhe:Hanuna Ibrahim Massoud, akizungumza na wananchi na Wakuu wa taasisi mbali mbali za Serikali nje ya ofisi yake, kabla ya kuwakabidhi katiba iliyopendekezwa kwa wanancha na wakuu hao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Pemba...

 

10 years ago

Habarileo

‘Acheni kurubuniwa na wanaopinga Katiba Pendekezwa’

WANANCHI wa Zanzibar wametakiwa kutokubali kurubuniwa na watu wanaojidai kutetea maslahi ya Zanzibar kwa kupinga Katiba Inayopendekezwa na kubainisha kuwa lengo la watu hao ni kurudisha nyuma maendeleo ya Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani