Muswada wa VAT waongeza muda wa Bunge
Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema muda wa Bunge utaongezwa ili kutoa nafasi kwa serikali kuwasilisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kodi ya Mapato (VAT).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jun
Bunge laongezwa muda kujadili VAT, ardhi
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa
10 years ago
Habarileo08 Nov
TRA yapongezwa muswada wa VAT
MTANDAO wa Policy Forum umeipongeza Serikali na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia mapendekezo ya wadau katika uandaaji wa Muswada wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) wa mwaka 2014.
11 years ago
Mwananchi27 May
Lugola awashia moto Muswada wa VAT
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Muswada wa ajira waligawa Bunge
Na Fredy Azzah, Dodoma
MUSWADA wa Sheria ya Kazi na Ajira uliosomwa bungeni kwa mara ya pili jana na Waziri wa Kazi na AJIRA, Gaudentia Kabaka, umewagawa wabunge ambapo baadhi yao wameupinga na kusema unakinzana na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeingia.
Akisoma muswada huo jana, Kabaka alisema ulitungwa kwa lengo la kuimarisha usimamizi wa ajira za wageni nchini.
Alisema sheria hiyo inatarajiwa kuweka mamlaka moja itakayoratibu na kurahisisha upatikanaji wa vibali vya ajira za...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Bunge lapitisha Muswada wa Baraza la Vijana
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana wa mwaka 2015, uliowasilishwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara.
10 years ago
Habarileo29 Mar
Bunge lapitisha muswada wa sheria ya bajeti
KWA mara ya kwanza Tanzania itakuwa na sheria ya bajeti baada ya Bunge jana kupitisha muswada wa sheria ya bajeti ambayo inataka mchakato wa kuandaa bajeti kuwahusisha Wabunge.
10 years ago
Habarileo20 Nov
Muswada ‘Bodi ya Mikopo’ wakwamisha Bunge
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii jana ilipinga kuwasilishwa kwa Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2014, ikipinga kubadilishwa kwa Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).