Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lugola awashia moto Muswada wa VAT

>Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema iwapo Muswada wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), hautapelekwa bungeni, atakusanya saini za wabunge ili kumwondoa madarakani Spika wa Bunge, Anne Makinda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TRA yapongezwa muswada wa VAT

MTANDAO wa Policy Forum umeipongeza Serikali na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia mapendekezo ya wadau katika uandaaji wa Muswada wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) wa mwaka 2014.

 

11 years ago

Mwananchi

Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa

>Hatima ya Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), kujadiliwa katika Mkutano wa 15 wa Bunge iko mikononi mwa Serikali, baada ya Kamati za Kudumu za Bunge kuupinga na kupendekeza urejeshwe katika kamati za kisekta ili ujadiliwe upya.

 

11 years ago

Mwananchi

Muswada wa VAT waongeza muda wa Bunge

Spika wa Bunge, Anne Makinda amesema muda wa Bunge utaongezwa ili kutoa nafasi kwa serikali kuwasilisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kodi ya Mapato (VAT).

 

10 years ago

GPL

KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amewasha moto bungeni akifunguka kuwa atawaambia wananchi wake wasiipigie kura CCM pamoja na yeye mwenyewe kama maji hayatapatikana jimboni mwake wakati akichangia katika majiadiliano ya hoja za kamati bungeni leo. Pia Lugola amehoji kwa nini nguvu zinazotumika kuwapiga watu kama akina Profesa Lipumba zisitumike kupambana na wawekezaji wanaokiuka masharti ya uwekezaji na kuwanyanyasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola amfyatua JK

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amemshambulia Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, kuwa chama kitafia mikononi mwake. Lugola, alisema kitendo cha Rais Kikwete kukataa kuwaondoa madarakani mawaziri...

 

9 years ago

Mtanzania

Kangi Lugola amshambulia Lowassa

IMG_0143Na Ahmed Makongo, Mwibara

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.

Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kufuta misamaha ya VAT

Serikali itawasilisha bungeni rasimu ya maboresho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ambayo itafuta misamaha ya kodi hiyo.

 

11 years ago

TheCitizen

Vat on insurance: let’s proceed cautiously here

The news that the government plans to introduce Value Added Tax (VAT) on insurance services has raised some concern.The authorities may want to proceed cautiously on this agenda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola amwita Chiza ‘mzigo’

JINAMIZI la kuitwa ‘Waziri Mzigo’ lililokuwa likimuandama Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limeibuka tena jana bungeni wakati wa mjadala wa hotuba ya bajeti ya wizara hiyo. Aliyeibua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani