Lugola awashia moto Muswada wa VAT
>Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema iwapo Muswada wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), hautapelekwa bungeni, atakusanya saini za wabunge ili kumwondoa madarakani Spika wa Bunge, Anne Makinda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Nov
TRA yapongezwa muswada wa VAT
MTANDAO wa Policy Forum umeipongeza Serikali na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia mapendekezo ya wadau katika uandaaji wa Muswada wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) wa mwaka 2014.
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa
11 years ago
Mwananchi30 May
Muswada wa VAT waongeza muda wa Bunge
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pygbhdqFYxDQT77u-egloJDkLq*rhjx9VL0gN6C1HtL5rphs7Lgf47Lsc7-oQ2Sc49wSTHUY0pgH9rRNRJQbKCpg/ligolabungeni.jpg)
KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Lugola amfyatua JK
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amemshambulia Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, kuwa chama kitafia mikononi mwake. Lugola, alisema kitendo cha Rais Kikwete kukataa kuwaondoa madarakani mawaziri...
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Kangi Lugola amshambulia Lowassa
Na Ahmed Makongo, Mwibara
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.
Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...
11 years ago
Mwananchi05 May
Serikali kufuta misamaha ya VAT
11 years ago
TheCitizen08 May
Vat on insurance: let’s proceed cautiously here
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Lugola amwita Chiza ‘mzigo’
JINAMIZI la kuitwa ‘Waziri Mzigo’ lililokuwa likimuandama Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limeibuka tena jana bungeni wakati wa mjadala wa hotuba ya bajeti ya wizara hiyo. Aliyeibua...