Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lugola amwita Chiza ‘mzigo’

JINAMIZI la kuitwa ‘Waziri Mzigo’ lililokuwa likimuandama Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limeibuka tena jana bungeni wakati wa mjadala wa hotuba ya bajeti ya wizara hiyo. Aliyeibua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KADINDA AMWITA LULU NYAU

Stori: Mwandishi Wetu MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda amempongeza Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa kumuita nyau. Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda aki[pozi. Martin alifanya ishu hiyo wakati akimtakia Lulu Happy Birthday Aprili 16 ambapo mwanadada huyo alikuwa akitimiza umri wa miaka 19. Paparazi wetu alipomhoji kuhusiana na kumuita nyau, Martin alifunguka:… ...

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI AMWITA JIDE AMUOMBEE!

Imelda Mtema/Ijumaa
SIKU moja tu baada ya mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ kutupia kwenye mtandao wa Instagram, Jumanne iliyopita akisema baadhi ya watu wanamsakama kuhusu kutozaa bora auawe, mchungaji ameibuka na kumtaka staa huyo kufika kanisani kwake ili amwombee. Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’. Mchungaji Overcomer Daniel wa Kanisa la...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwigizaji Yusuph Mlela Ampiga Dongo Nora Amwita Kibibi

KUFUATIA madai ya hivi karibuni ya mkongwe wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ kuwa baadhi ya waigizaji hawana sifa za kuwa wacheza sinema zaidi ya kuuza sura, msanii Yusuph Mlela amempa dongo zito akisema licha ya umri kuwa mkubwa, pia ana matatizo flani yanayomsumbua.“Nora naona siyo kosa lake kwani alishaugua yule, isitoshe ameshakuwa bibi hivyo nimemsamehe na sina tatizo naye kwani najua, lingekuwa jambo la maana kama angetufuata na kutushauri kama mkongwe lakini si kwa njia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola amfyatua JK

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amemshambulia Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, kuwa chama kitafia mikononi mwake. Lugola, alisema kitendo cha Rais Kikwete kukataa kuwaondoa madarakani mawaziri...

 

10 years ago

TheCitizen

Improve horticulture: Chiza

>The government yesterday challenged players in the Tanzanian horticulture industry to consider adding value to their products.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali tatu haziepukiki — Lugola

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kangi Lugola, amesema mfumo wa serikali tatu hauepukiki kwa kuwa Serikali ya Zanzibar tayari imekwisha kuvunja Katiba. Mjumbe huyo akizungumza na gazeti hili mjini...

 

9 years ago

Mtanzania

Kangi Lugola amshambulia Lowassa

IMG_0143Na Ahmed Makongo, Mwibara

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.

Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola aweka rehani ubunge

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola awachongea watendaji wabovu

SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua madhubuti za kushughulikia tatizo la watendaji wabovu ndani ya halmashauri nchini, vinginevyo hata bajeti ya maendeleo ikiongezwa na kupelekwa kwa wakati haiwezi kuleta tija kwa wananchi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani