Lugola amwita Chiza ‘mzigo’
JINAMIZI la kuitwa ‘Waziri Mzigo’ lililokuwa likimuandama Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limeibuka tena jana bungeni wakati wa mjadala wa hotuba ya bajeti ya wizara hiyo. Aliyeibua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnRJYhn9-NLobBiZhP2cieWMour4EqD6dYQrEKHxaBHZJnXk*KPYYfoz1o*N91avHJQGV1l*auKS1yqeFdlz1UA/KADINDA.jpg?width=650)
KADINDA AMWITA LULU NYAU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJPD2fQVCQFhfaAMg5eFGotUIDRpLXExBDX*QbWe8yACqX96d-WdWA3RQ6Uzj8R54PxWIhIPNc8fNK6k53LSW2mu/Front.jpg)
MCHUNGAJI AMWITA JIDE AMUOMBEE!
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s72-c/mlela.jpg)
Mwigizaji Yusuph Mlela Ampiga Dongo Nora Amwita Kibibi
![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s640/mlela.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Lugola amfyatua JK
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amemshambulia Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, kuwa chama kitafia mikononi mwake. Lugola, alisema kitendo cha Rais Kikwete kukataa kuwaondoa madarakani mawaziri...
10 years ago
TheCitizen29 Nov
Improve horticulture: Chiza
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Serikali tatu haziepukiki — Lugola
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kangi Lugola, amesema mfumo wa serikali tatu hauepukiki kwa kuwa Serikali ya Zanzibar tayari imekwisha kuvunja Katiba. Mjumbe huyo akizungumza na gazeti hili mjini...
9 years ago
Mtanzania03 Oct
Kangi Lugola amshambulia Lowassa
Na Ahmed Makongo, Mwibara
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mwibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kangi Lugola, amemshambulia kwa maneno makali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, kuwa umati wa watu wanaofurika kwenye mikutano yake haumaanishi kumkubali isipokuwa una sababu zaidi ya hiyo.
Lugola aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, uliofanyika Uwanja wa Kata ya Kisorya katika Jimbo...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Lugola aweka rehani ubunge
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Lugola awachongea watendaji wabovu
SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua madhubuti za kushughulikia tatizo la watendaji wabovu ndani ya halmashauri nchini, vinginevyo hata bajeti ya maendeleo ikiongezwa na kupelekwa kwa wakati haiwezi kuleta tija kwa wananchi....