Lugola aweka rehani ubunge
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Gabriel Munasa aweka nia kwa staili ya Jogging Ubunge Kawe
Gabriel Munasa (mwenye kofia) akiongoza vijana wa Kawe kukimbia mchaka mchaka (Jogging) ikiwa sehemu ya kuwakutanisha wananchi pamoja ambapo pia alitumia fursa hiyo kuweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe na kama litagawanywa atagombea Bunju.
Gabriel Munasa akishiriki mazoezi ya viungo kwenye viwanja vya Kawe baada ya kumaliza jogging yenye lengo la kuwakutanisha vijana pamoja,kuwahamasisha kujiandikisha kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura,kuhamasisha vijana kujiunga...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mwambusi: Ubingwa upo rehani
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Weka rehani upate mkopo
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Dawasa yaweka rehani maisha ya wananchi
BAADHI ya wakazi wa maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (Dawasa) kwa kushindwa kutengeneza mifereji ya majitaka ambayo imeharibika kwa muda mrerefu na...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
TFDA yaweka maisha ya watu rehani
MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), inadaiwa kuweka rehani maisha ya watumiaji dawa kutokana na kuzima kimya kimya sakata la mmiliki wa duka la dawa baridi la Shine Pharmacy...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsiVk1nrwCqmYOE2wGQ5J2S4-yM0HnvEDcnIznWNFuLG3-DmNCsLjt0QTuQHpKr5-GjA6AN1fKC-G5EmkFhx0uO/mahaba.jpg?width=650)
HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Sumaye: Tume ya Uchaguzi imeweka amani rehani
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta
NA MWALI IBRAHIM
BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.
Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...
11 years ago
Habarileo20 Dec
Sakata la Mbowe laweka rehani ndoa za wabunge
SAKATA la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema), kutuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake, limeweka ndoa za wabunge shakani.