Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambusi: Ubingwa upo rehani

Benchi la Ufundi la Yanga limepiga hesabu za kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu na kuibuka na mkakati wa kuhakikisha hilo linatimia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ubingwa Simba upo mikoa mitatu

Ndoto ya Simba kumaliza katika nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania itaamuliwa kwenye viwanja vitatu vya Sokoine (Mbeya), Kambarage (Shinyanga) na Uwanja CCM Mkwakwani mjini Tanga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Weka rehani upate mkopo

Suala la kupata mkopo kwa kuweka rehani kama saa au vito inaendelea kuwa mashuhuri barani Asia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola aweka rehani ubunge

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameuweka rehani ubunge wake kwa kutishia kujiuzulu endapo Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Titus Kamani ataonyesha fedha alizotenga kwa ajili ya ruzuku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasa yaweka rehani maisha ya wananchi

BAADHI ya wakazi wa maeneo ya Jiji la Dar es Salaam wameilalamikia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka (Dawasa) kwa kushindwa kutengeneza mifereji ya majitaka ambayo imeharibika kwa muda mrerefu na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFDA yaweka maisha ya watu rehani

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), inadaiwa kuweka rehani maisha ya watumiaji dawa kutokana na kuzima kimya kimya sakata la mmiliki wa duka la dawa baridi la Shine Pharmacy...

 

11 years ago

GPL

HUNA SABABU YA KUUWEKA MOYO WAKO REHANI!

MAPENZI ni sanaa yenye wigo mpana sana. Unahitajika uwe mbunifu sana ili uweze kuendelea kuwa bora kwa mpenzi wako kila siku. Lazima uwe mtafutaji wa kitu kipya ili uweze kuwa wa tofauti kwa mwenzako. Huwezi kuwa yuleyule, ikiwa hivyo maana yake utakinaiwa. Naam! All About Love ni safu nzuri kwako kwa ajili ya kuongeza maarifa na kukufanya uendelee kuwa bora zaidi kwa mpenzi wako. Ndugu zangu, mapenzi ni furaha. Huna sababu ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Hassan Rehani awajibu walioikimbia Twanga Pepeta

dogoNA MWALI IBRAHIM

BAADA ya baadhi ya wanamuziki wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhani Athumani na Salehe Kupaza kueleza sababu iliyowafanya waikimbie bendi hiyo na kuhamia Double M Sound Plus ni maslai na madeni yao wanayoidai Twanga Pepeta, meneja wa bendi hiyo, Hassan Rehani, ameibuka na kukana madai hayo.

Wanamuziki hao tayari wameshatambulishwa rasmi kwenye bendi ya Double M Sound Plus iliyopo chini ya Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, wamedaiwa kutumia maneno ya kudai...

 

11 years ago

Habarileo

Sakata la Mbowe laweka rehani ndoa za wabunge

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema)SAKATA la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema), kutuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake, limeweka ndoa za wabunge shakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Tume ya Uchaguzi imeweka amani rehani

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema Tume ya Uchaguzi isipotenda haki katika kutangaza matokeo, inaweza ikasababisha uvunjifu wa amani nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani