Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubingwa Simba upo mikoa mitatu

Ndoto ya Simba kumaliza katika nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania itaamuliwa kwenye viwanja vitatu vya Sokoine (Mbeya), Kambarage (Shinyanga) na Uwanja CCM Mkwakwani mjini Tanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mwambusi: Ubingwa upo rehani

Benchi la Ufundi la Yanga limepiga hesabu za kuhakikisha timu hiyo inatetea ubingwa wa Ligi Kuu na kuibuka na mkakati wa kuhakikisha hilo linatimia.

 

9 years ago

Mwananchi

Mikoa mitatu yapata tuzo utoaji chanjo

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imetoa tuzo kwa mikoa ya Mwanza, Mbeya na Ruvuma kwa kufikia malengo yaliyowekwa ya utoaji chanjo kwa watoto na wajawazito na kupunguza vifo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMANDA WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SIMIYU NA SHINYANGA WAVUNJA NGOME HATARI YA MTANDAO WA UJAMBAZI

Wakizungumza kwa pamoja Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Valentino Mlowola alisema Januari 5, mwaka huu majira ya saa 7 mchana walimkamata Mabula Lyagwa (36) akiwa na jeraha la risasi kwenye bega lake la kulia baada ya kupokea taarifa kutoka kwa raia wema.
Alisema mtiliwa shaka huyo alipohojiwa alisema kuwa jeraha hilo alipigwa risasi na jambazi mwenzake aitwaye Njile Samweli wakati wakifanya tukio la ujambazi katika kijiji cha Idukilo kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AHITIMISHA ZIARA YAKE YA MIKOA MITATU MKOANI KILIMANJARO.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Moshi mjini kwenye mkutano wa hadhara Bomambuzi viwanja vya shule ya msingi Mandela na kuwaambia kuwa wamekuwa na ushabiki kwa miaka 20 imefika wakati sasa kuamua kuchagua maendeleo kwa manufaa ya maisha yao.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wamekamilisha ziara yao ya mikoa mitatu ikiwemo Dodoma,Arusha na Kilimanjaro,Ziara hiyo ililenga Kuimarisha,kutekeleza na...

 

9 years ago

StarTV

Uwekezaji Mohamed Dewji Mo  kwa Simba upo hatua za mwisho za mazungumzo

 

Klabu ya Simba imesema ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo juu ya uwekezaji wa mfanyabiashara maarufu hapa nchini Mohamed Dewji Mo ambaye anatarajia kuwekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 20 katika Klabu hiyo.

Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba Kaburu Nyange,ameiambia Star tv kwa njia ya simu kuwa, Uongozi wa klabu hiyo unafuatilia kwa umakini juu ya uwekezaji huo ambao Wanachama wa Klabu hiyo ndio watakaotoa maamuzi ya mwisho.

Kaburu amesema Klabu hiyo inapaswa kubadilika na kuendeshwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu

Wakati Yanga imesitisha mkataba wa kazi wa kocha wake, Ernest Brandts imebainika kuwa Yanga na Simba zimefukuza makocha tisa kwa kipindi cha miaka mitatu.

 

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Sunday Simba Shomari aadhimisha miaka mitatu ya ndoa

Leo ni mwaka wa tatu tangu niingie kwenye klabu hii ya wajanja na kuaga ukapela kwanza namshukuru Mungu kwa kunipa mke bora na familia njema , pia naomba aendelee kutoa Baraka zake kwa familia yetu daima na tusonge mbele na safari Empress wangu pendo la moyo wangu.Mungu ndiye kiongozi wetu. Amina - Sunday Simba Shomari

 

10 years ago

Mwananchi

Mkude awazia ubingwa Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude amesema ushindi wa kwanza walioupata dhidi ya Ruvu Shooting umewapa morali na watahakikisha hawarudi nyuma na watajitahidi watwae ubingwa msimu huu.

 

11 years ago

GPL

Aliyeinyima ubingwa Yanga, atua Simba

Mashabiki wa timu ya Yanga SC. Na Sweetbert Lukonge
WAKATI zoezi la usajili kwa timu za Ligi Kuu Bara lilizidi kupamba moto, uongozi wa Simba upo mbioni kumtia kundini straika aliyeinyima ubingwa Yanga msimu wa 2011/12. Straika huyo si mwingine, bali ni Musa Said ambaye kwa sasa anaitumikia timu ya Daraja la Kwanza ya African Lyon ambayo alijiunga nayo mwaka jana akitokea Toto African ya jijini Mwanza. Wapenzi pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani