Mpiganaji Sunday Simba Shomari aadhimisha miaka mitatu ya ndoa
![](http://4.bp.blogspot.com/-yz9eaHTfDx0/VgsKYk6KfuI/AAAAAAAH7xo/LkMu84Z-goI/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Leo ni mwaka wa tatu tangu niingie kwenye klabu hii ya wajanja na kuaga ukapela kwanza namshukuru Mungu kwa kunipa mke bora na familia njema , pia naomba aendelee kutoa Baraka zake kwa familia yetu daima na tusonge mbele na safari Empress wangu pendo la moyo wangu.Mungu ndiye kiongozi wetu. Amina - Sunday Simba Shomari
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Sep
Mdau Sunday Shomari atia baraka ndani ya Ofisi za MMG
![IMG_0590](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_0590.jpg?w=714)
![IMG_0594](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_0594.jpg?w=714)
10 years ago
GPLMTANGAZAJI SUNDAY SHOMARI WA VOA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LEO
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CjyfFjyZ6T8/VXFYcLxD5qI/AAAAAAADqMQ/TKTsEupSXKg/s72-c/img_7814%2B%25282%2529.jpg)
UBATIZO NA BASH LA KUZALIWA MTOTO ERNEST SIMBA SHOMARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CjyfFjyZ6T8/VXFYcLxD5qI/AAAAAAADqMQ/TKTsEupSXKg/s640/img_7814%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_Y7NBDMfKEU/VXFYcqcROtI/AAAAAAADqMY/sVweuIY2R20/s640/img_7913%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M0-zB7rojbI/VXFYb0fI6ZI/AAAAAAADqNM/6PgyGWzZUNU/s640/img_7810%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G2iM1Acg6kY/VXFYbfqG3aI/AAAAAAADqMM/8C8oG2PQXZ8/s640/img_7775%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g06n8e1W9zc/VXFYc9UvgaI/AAAAAAADqMc/dRLszbay9ws/s640/img_7938%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aYh78QD6YZc/VXFYbccj9KI/AAAAAAADqME/3hIc0MQuY_Q/s640/img_7750%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nzq6hjr4ygE/VXFYhNWupII/AAAAAAADqNk/HX5os8F4-QY/s640/mickey%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zROdKkJx2as/VXFYbXyCKZI/AAAAAAADqMI/U2ZAnOuQvK4/s640/img-20150531-wa0111%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gt1StmqKgwI/VXFYeRGNw_I/AAAAAAADqM0/5r2zE45pTRU/s640/img_7976%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UuFB27xU_rE/VXFYdSNwhcI/AAAAAAADqNY/IcHr61kHsDI/s640/img_7959%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c5Mk-wnjByA/VXFYdlQoLgI/AAAAAAADqMo/2TRQqMgbN4E/s640/img_7963%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bZwnHg6CR-c/VXFYfEKIZEI/AAAAAAADqM8/gLNDrWYtmfs/s640/img_8072%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Atupwa jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala imemuhukumu Mwanamuziki wa Bendi ya Achigo, Frank Ndokezi (41) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa kuiibia Ofisi ya Usaki Sacos Sh. milioni 19.8, kutakiwa kulipa faini ya fedha hizo mara baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo
Hukumu hiyo ilitolewa jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan, Wakili wa Serikali Ferista Mosha.
Hakimu Hassan alisema upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano waliotoa ushahidi ili kuweza kuthibitisha...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Wivu wampeleka jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu Rebecca Nyangolema (30) kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh 350,000 baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia kwa maji ya moto mlalamikaji na kumsababishia maumivu.
10 years ago
GPLMIAKA MITATU MUHIMBILI BILA MATIBABU
9 years ago
Michuzi02 Sep
KUMBUKUMBU MIAKA MITATU YA MWANAHABARI MWANGOSI
![DSCF1794](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/czMdVWIy3rfaSm5gViTDix93BqeQrg6bL_rLd80CERdQWBbG-1HJfbC13NqVdRpWTajBCaqC6glctBii8VKsTLfxTLP7GzzrIiNkuXqtxK3BTX_KszC2nvw=s0-d-e1-ft#http://sundayshomari.files.wordpress.com/2012/09/dscf1794.jpg?w=584)
![DSCF1819](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/W2PO6VtXR74u-0C3fkI0aIVWBJJwLIs4xXnpVUnXwwYdaxQFMW1VJXixzwP_VzpFs2E7STsIiJ6IW7GEeh-iNMuo_MY0kW2xsHq3t9CPV4aKPioBDFDSY5k=s0-d-e1-ft#http://sundayshomari.files.wordpress.com/2012/09/dscf1819.jpg?w=584)
Mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoa wa...