Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UBATIZO NA BASH LA KUZALIWA MTOTO ERNEST SIMBA SHOMARI

Wasimamizi wa Ernest Pius Mutalemwa na Harrieth Shangarai pamoja na wazazi na mapadre Munishi na Shao wakimbatiza mtoto Ernest huko Baltimore Md Jumapili Mei 31,2015 katika kanisa la Mt.Edwards.Padre Honest Munishi akiwa na wazazi na wasimamizi kwenye ubatizo. Wazazina wasimamizi.
Nikisoma somo. Wazazi na mtoto Ernest. Rose. Ernest akimwona Mickey Mouse Live kwa mara ya kwanza na kubadilishana nae mawazo. "Three The Hard Way" The Manase's. Brian akipiga kinanda. Cd na familia. "Menyu". ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

leo ni hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Benedickt wa mdau ernest makulilo - waraka toka kwa baba mtu

 HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILO HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILO HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILOMy dearest son, BenediktToday is your 4thBirthday. It is another February 10th of the year. You were born at 5:42pm Pacific Standard Time. Your birth is a blessing and that’s why you are Benedikt. You have helped us to be better human beings by reflecting our lives as parents. Both Marie and I are thankful to God every day to have such a wonderful little guy.For...

 

9 years ago

Michuzi

Mpiganaji Sunday Simba Shomari aadhimisha miaka mitatu ya ndoa

Leo ni mwaka wa tatu tangu niingie kwenye klabu hii ya wajanja na kuaga ukapela kwanza namshukuru Mungu kwa kunipa mke bora na familia njema , pia naomba aendelee kutoa Baraka zake kwa familia yetu daima na tusonge mbele na safari Empress wangu pendo la moyo wangu.Mungu ndiye kiongozi wetu. Amina - Sunday Simba Shomari

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa wazazi watatu kuzaliwa Uingereza

Wabunge nchini Uingereza wameunga mkono sheria inayoruhusu uzaaji wa wa watoto wenye vinasaba, kutoka kwa wanawake wawili na mwaume mmoja,

 

11 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON

AARON KUTOKA ARUSHA AMEFIKISHA UMRI WA MWAKA MMOJA TAREHE 27 FEBURUARY, 2014, ASHUKURIWE MUNGU,NA PIA ANATOA SALAAM ZA ZA UPENDO KWA WAZAZI WAKE,KAKA ZAKE DAVID NA MARK NA WADAU WOTE WA BLOG YA JAMII   MDAU FRANK, ARUSHA

 

10 years ago

Michuzi

hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Sameer Kikwappe

Mtoto Sameer Kikwappe (katikati) juzi tarehe 20/06/2015 amefikisha umri wa 1 year (one o'clock). Tunamuomba allah ampe maisha marefu. Shoto na kulia kwake ni kaka zake Abutwalib na Nazir (Kalamagi).

 

9 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MTOTO BRAYDEN MOSES

 FAMILIA YA BWANA NA  BIBI MOSES MWANGENDE WA KIMARA B, WANAPENDA KUMPONGEZA  NA KUMTAKIA MTOTO WAO MPENDWA  BRAYDEN MOSES MWANGENDE  SIKU YA LEO TAREHE 05.01.2016 KWA  KUTIMIZA MIAKA  NNE(4),WAZAZI WAKE  WANAMTAKIA AFYA NJEMA NA MWENYEZI  MUNGU AMLINDE.

 

9 years ago

Michuzi

HEPI BETHDEI YA KUZALIWA MTOTO Nasria Salum Mgaya

 Mtoto Nasria Salum Mgaya akiwa kabebwa na baba yake. Katikati ni mama yake na kushoto ni mama yake mdogo Farashuu Tozzo. Nasria akiwa katika matukio tofauti pamoja na ma mdogo Farashuu,chini yake ni ma mdogo rehema,na kulia nasria akizima mshumaa. Nasria akifanya mpango wa kukata keki yake mwenyewe

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto akutana na wazazi wake miezi 10 baada ya kuzaliwa

Hatimae wanandoa wamepata fursa ya kukutana na mtoto wao aliyezaliwa na mama wa kukodi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani