Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


leo ni hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Benedickt wa mdau ernest makulilo - waraka toka kwa baba mtu

 HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILO HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILO HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILOMy dearest son, BenediktToday is your 4thBirthday. It is another February 10th of the year. You were born at 5:42pm Pacific Standard Time. Your birth is a blessing and that’s why you are Benedikt. You have helped us to be better human beings by reflecting our lives as parents. Both Marie and I are thankful to God every day to have such a wonderful little guy.For...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU ANDREW CHALE


 Usiku wa Oktoba 21 ni siku yangu muhimu sana kwani, ndiyo niliyozaliwa. Hii ilikuwa ni majira ya saa 3 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ni mwaka 1985.Leo nina furaha isiyo kifani kwa kuweza kusherehekea  siku yangu hii ya kuzaliwa… hakika Mungu ni mkuu nawashukuru nyote kwa kushirikiana nami bega kwa bega katika kipindi chote cha maisha yangu nawatakia kila lakheri pia.Najivunia kua mtanzania ila ndani  ya miaka hii yote  nakumbuka mengi na nimepitia mengi ikiwemo milima na mabonde...

 

11 years ago

Michuzi

hepi besdei ya kuzaliwa mdau Ronnie Mtawali

Leo ni Hepi Besdei ya kuzaliwa  mdau Ronnie  Mtawali. 
Globu ya Jamii inamtakia afya nyema na maisha ya furaha kwa siku hii. Ankal ana furaha na fahari kubwa kuwa mmoja wa marafiki wa karibu wa Ronnie ambaye miaka takriban 20 iliyopita alimpigia picha zake za harusi. Na kama zawadi anamwambia Ronnie kwamba ile shilingi Elfu kumi na mbili (12,000/- Tshs) anayomdai ya album hadi leo anamsamehe. Msamaha huo unakuja kwa kuona Ronnie amedumisha ndoa yake hadi leo bila kutetereka...

 

11 years ago

Michuzi

hepi besdei ya kuzaliwa mdau Krantz Mwantepele

 Leo tarehe 19 mwezi wa saba ni siku ya kuzaliwa mdau Krantz Mwantepele mwanzilishi na  mkurungezi wa  ufundi  mwanaharakati mzalendo media ambao ni wamiliki wa blog tatu mwanaharakati mzalendo blog, harakati180 na 255 trending news   pia ni Mkurungezi wa masoko wa KAJO ITECH  kampuni ya kizalendo inayohusika na it ,printing na event managementNapenda kuwashuku sana wadau wangu wote tunaoshirikiana nao kila siku katika  ujenzi wa ktaifa katika kuhabarishana na pia kutoa elimu kupitia...

 

10 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU MAULID BARAKA WA KITENGE

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mtangazaji nguli wa Michezo hapa nchini kupitia Radio EFM ya jijini Dar es salaam,Maulid Baraka wa Kitenge mwenye jezi nambari tisa mgongoni.Globu ya Jamii inamtakia kila la kheri mdau huyu katika siku yake hii na mwenyezi Mungu amjaalie maisha marefu.

 

11 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA YA KUZALIWA MTOTO AARON

AARON KUTOKA ARUSHA AMEFIKISHA UMRI WA MWAKA MMOJA TAREHE 27 FEBURUARY, 2014, ASHUKURIWE MUNGU,NA PIA ANATOA SALAAM ZA ZA UPENDO KWA WAZAZI WAKE,KAKA ZAKE DAVID NA MARK NA WADAU WOTE WA BLOG YA JAMII   MDAU FRANK, ARUSHA

 

9 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MTOTO BRAYDEN MOSES

 FAMILIA YA BWANA NA  BIBI MOSES MWANGENDE WA KIMARA B, WANAPENDA KUMPONGEZA  NA KUMTAKIA MTOTO WAO MPENDWA  BRAYDEN MOSES MWANGENDE  SIKU YA LEO TAREHE 05.01.2016 KWA  KUTIMIZA MIAKA  NNE(4),WAZAZI WAKE  WANAMTAKIA AFYA NJEMA NA MWENYEZI  MUNGU AMLINDE.

 

10 years ago

Michuzi

hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Sameer Kikwappe

Mtoto Sameer Kikwappe (katikati) juzi tarehe 20/06/2015 amefikisha umri wa 1 year (one o'clock). Tunamuomba allah ampe maisha marefu. Shoto na kulia kwake ni kaka zake Abutwalib na Nazir (Kalamagi).

 

9 years ago

Michuzi

HEPI BESDEI YA KUZALIWA MTOTO EUNICE EDSON MAGESA.

Mtoto Eunice Edson Magesa ametimiza miaka mitano. Sisi wazazi wake,majirani wote tunamtakia maisha marefu ya furaha na fanaka katika kila jambo. Happy Birthday dear Eunice!

 

9 years ago

Michuzi

Hepi Besdei ya KUZALIWA mtoto NAZIR (a.k.a KALAMAGI) HAMIS KIKWAPPE

Hapa anaonekana Nazir Hamis akimlisha Keki mdogo wake Sameer wakati wa sherehe ya kuzaliwa ambapo Nazir amefikisha miaka minane a.k.a 8 Oclock. Allah ampe maisha marefu na amuwezeshe kufanikisha ndoto zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani