HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU ANDREW CHALE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DPDa0wLue9A/VEaMNfpR4YI/AAAAAAAGsgc/YKWj7W1SyLA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Usiku wa Oktoba 21 ni siku yangu muhimu sana kwani, ndiyo niliyozaliwa. Hii ilikuwa ni majira ya saa 3 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ni mwaka 1985.Leo nina furaha isiyo kifani kwa kuweza kusherehekea siku yangu hii ya kuzaliwa… hakika Mungu ni mkuu nawashukuru nyote kwa kushirikiana nami bega kwa bega katika kipindi chote cha maisha yangu nawatakia kila lakheri pia.Najivunia kua mtanzania ila ndani ya miaka hii yote nakumbuka mengi na nimepitia mengi ikiwemo milima na mabonde...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Mar
hepi besdei ya kuzaliwa mdau Ronnie Mtawali
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/w8K8noX8-13r6CAVbr-5jRt8PWO89cQP6WYzB7vBmiipgjLrTpuChRslBz8hTvlmVelpB8gLlybw3disljC4QOAlRGs4OKpBfaOb4YDXj2tfimhsdaeCZaLe6AI4EO_AfCaprR49hK-AKSGmPBT409h2=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/1901973_767456013266534_2091588404_n.jpg)
Globu ya Jamii inamtakia afya nyema na maisha ya furaha kwa siku hii. Ankal ana furaha na fahari kubwa kuwa mmoja wa marafiki wa karibu wa Ronnie ambaye miaka takriban 20 iliyopita alimpigia picha zake za harusi. Na kama zawadi anamwambia Ronnie kwamba ile shilingi Elfu kumi na mbili (12,000/- Tshs) anayomdai ya album hadi leo anamsamehe. Msamaha huo unakuja kwa kuona Ronnie amedumisha ndoa yake hadi leo bila kutetereka...
11 years ago
Michuzihepi besdei ya kuzaliwa mdau Krantz Mwantepele
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2QKYvlCQ33k/VQ-ceDsgToI/AAAAAAAHMTw/FgTGZzoj3Dc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU MAULID BARAKA WA KITENGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-2QKYvlCQ33k/VQ-ceDsgToI/AAAAAAAHMTw/FgTGZzoj3Dc/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMh9mshAPRU/VNpVK03PThI/AAAAAAAHC8M/bYFMXESDFD0/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
leo ni hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Benedickt wa mdau ernest makulilo - waraka toka kwa baba mtu
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMh9mshAPRU/VNpVK03PThI/AAAAAAAHC8M/bYFMXESDFD0/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7GCW5SW0yC4/VNpVKxqQ_zI/AAAAAAAHC8Q/eegFB1LYEXs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cE7ebH-TLjk/VNpVK2swpvI/AAAAAAAHC8U/B3FbwhvudKc/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gLgT0dMiZa8/VNpVLr439_I/AAAAAAAHC8Y/QLh-rpVmplU/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s72-c/unnamed.jpg)
Hepi Besdei ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s1600/unnamed.jpg)
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha...
10 years ago
VijimamboHAPPY BIRTHDAY MDAU ANDREW CHALE
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Mdau Andrew Chale kutoa vitabu vya Maisha yake
Andrew Chale (kulia) akiteta jambo na ‘Mwenyekiti’ Maggid Mjengwa wa Mjengwa Blog.
..Ni vya ‘Who Is Andrew Chale’, ‘Nimnukuu Nani?’ na ”Mimi ni Historia’,
Na Mwandishi Wetu
Mwandishi wa Habari nchini Tanzania, Andrew Chale anayeandikia magazeti ya Tanzania Daima na Sayari yanayotolewa na kampuni ya Free Media ya jijini Dar es Salaam, ambaye pia mwandishi ‘msaada’ wa blog za habari mbalimbali za hapa nchini na nje ya Tanzania ameanza mchakato rasmi wa kuandika vitabu vitatu (3)...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Andrew-Chale-kulia-akiteta-jambo-na-Mwenyekiti-Mjengwa-wa-Mjengwa-blog.jpg)
MDAU ANDREW CHALE KUTOA VITABU VYA MAISHA YAKE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s72-c/unnamed%2B(1).png)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA ANKAL SAMIYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ptlia-FuuRo/VEzrpBQFtwI/AAAAAAAGtaI/J7aVgITihVI/s1600/unnamed%2B(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sCzg-DGjsk4/VEzrpRLVmII/AAAAAAAGtaM/60MqVPNxSjw/s1600/unnamed.png)