HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU MAULID BARAKA WA KITENGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-2QKYvlCQ33k/VQ-ceDsgToI/AAAAAAAHMTw/FgTGZzoj3Dc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mtangazaji nguli wa Michezo hapa nchini kupitia Radio EFM ya jijini Dar es salaam,Maulid Baraka wa Kitenge mwenye jezi nambari tisa mgongoni.Globu ya Jamii inamtakia kila la kheri mdau huyu katika siku yake hii na mwenyezi Mungu amjaalie maisha marefu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4tVVZIywkLs/VRALu-lD4QI/AAAAAAAHMag/BAFPsYg4ZaA/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
LEO NI HEPI BESDEI YA KUZALIWA MPIGANAJI MAULID BARAKA WAA KITENGE WA EFM
![](http://2.bp.blogspot.com/-4tVVZIywkLs/VRALu-lD4QI/AAAAAAAHMag/BAFPsYg4ZaA/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s72-c/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
hepi besdei ya kuzaliwa MWANALIBENEKE MC BARAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7W7X19GBwF4/U_gshtgrdUI/AAAAAAAGBhE/yFkgFYVNC1k/s1600/10371898_767465896644945_6491477324471418454_n.jpg)
Namshukru mwenyezi mungu kunifikisha siku hii ya leo Jumamosi Aug 23 nikiwa naadhimisha siku ya kuzaliwa kwangu. Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu na ujasili wa kupambana na misukosuko ya hapa na pale hakika yeye ndiye muweza wa kila jambo mpaka mie kufika hapa nilipo.Natoa shukrani kubwa kwa wadau,ndugu na marafiki pamoja na wanalibeneke wanao endelea kuniunga mkono.HAPPY BIRTHDAY TO ME!
11 years ago
Michuzi18 Mar
hepi besdei ya kuzaliwa mdau Ronnie Mtawali
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/w8K8noX8-13r6CAVbr-5jRt8PWO89cQP6WYzB7vBmiipgjLrTpuChRslBz8hTvlmVelpB8gLlybw3disljC4QOAlRGs4OKpBfaOb4YDXj2tfimhsdaeCZaLe6AI4EO_AfCaprR49hK-AKSGmPBT409h2=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/1901973_767456013266534_2091588404_n.jpg)
Globu ya Jamii inamtakia afya nyema na maisha ya furaha kwa siku hii. Ankal ana furaha na fahari kubwa kuwa mmoja wa marafiki wa karibu wa Ronnie ambaye miaka takriban 20 iliyopita alimpigia picha zake za harusi. Na kama zawadi anamwambia Ronnie kwamba ile shilingi Elfu kumi na mbili (12,000/- Tshs) anayomdai ya album hadi leo anamsamehe. Msamaha huo unakuja kwa kuona Ronnie amedumisha ndoa yake hadi leo bila kutetereka...
11 years ago
Michuzihepi besdei ya kuzaliwa mdau Krantz Mwantepele
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DPDa0wLue9A/VEaMNfpR4YI/AAAAAAAGsgc/YKWj7W1SyLA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU ANDREW CHALE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DPDa0wLue9A/VEaMNfpR4YI/AAAAAAAGsgc/YKWj7W1SyLA/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iMh9mshAPRU/VNpVK03PThI/AAAAAAAHC8M/bYFMXESDFD0/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
leo ni hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Benedickt wa mdau ernest makulilo - waraka toka kwa baba mtu
![](http://1.bp.blogspot.com/-iMh9mshAPRU/VNpVK03PThI/AAAAAAAHC8M/bYFMXESDFD0/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7GCW5SW0yC4/VNpVKxqQ_zI/AAAAAAAHC8Q/eegFB1LYEXs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cE7ebH-TLjk/VNpVK2swpvI/AAAAAAAHC8U/B3FbwhvudKc/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gLgT0dMiZa8/VNpVLr439_I/AAAAAAAHC8Y/QLh-rpVmplU/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s72-c/unnamed.jpg)
Hepi Besdei ya kuzaliwa mdau Hamisi Ally Hamisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-U1jMnPXHsl4/VRBx6fO3wlI/AAAAAAAHMlc/GPEUMY2_XUc/s1600/unnamed.jpg)
Hongera sana kijana Hamisi Ally Hamisi kwa siku yako ya Kuzaliwa na endeleza kipaji chako cha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s72-c/MMG25737.jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA OTHMAN MICHUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrFE1ZsmuoU/VPJb9VOAVfI/AAAAAAAAqcw/f1uYO_JIrrE/s1600/MMG25737.jpg)
pia nitakuwa ni mchoyo wa Fadhila iwapo sitotoa shukrani za kipekee kwa ndugu zangu woote (wakiwemo wazazi wangu wawili na akina Ankal Issa Michuzi, Ahmad Michuzi, Karim Michuzi, Ramadhan Michuzi, Ismail...
10 years ago
Michuzi11 Jan
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MWANALIBENEKE WA DEMASHO
Wahenga wanasema maisha ni Safari na siku hazigandi, nakama maisha ni safari basi kila kukicha twakumbana na masaibu ya kukatisha tamaa ya kukupa moyo wa kusonga lakini jibu pekee ni kupambana nayo tu sikurudi nyuma. Nakama siku hazigadi basi ni dhahiri shairi kuwa umri unasonga siku hadi siku na huwezi kuurudisha nyuma.
Basi katika siku hii muhimu ya kukumbuka kuzaliwa kwako, NAPENDA...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania