Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu
Wakati Yanga imesitisha mkataba wa kazi wa kocha wake, Ernest Brandts imebainika kuwa Yanga na Simba zimefukuza makocha tisa kwa kipindi cha miaka mitatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Sep
Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga
ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yz9eaHTfDx0/VgsKYk6KfuI/AAAAAAAH7xo/LkMu84Z-goI/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Mpiganaji Sunday Simba Shomari aadhimisha miaka mitatu ya ndoa
![](http://4.bp.blogspot.com/-yz9eaHTfDx0/VgsKYk6KfuI/AAAAAAAH7xo/LkMu84Z-goI/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0499-768x513.jpg)
Manispaa ya Sumbawanga yang’ara kimapato huku wakipata hati safi kwa miaka mitatu
![](https://1.bp.blogspot.com/-MZ6m-jew8bs/XuDbEN2cVDI/AAAAAAALtXk/Gbqk0_8Mj90mJmm77eZYePRHrgRyY9RMgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0499-768x513.jpg)
Wakati akitoa salamu zake katika kikao cha Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo kuhusu utekelezaji wa hoja za ukaguzi na mapendekezo ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s72-c/nyerere13bc.jpg)
MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s640/nyerere13bc.jpg)
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.
VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...
10 years ago
Mtanzania02 Jan
Miezi 13, makocha 3 Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL,
DAR ES SALAAM
INASHANGAZA! Hiyo ndio hali halisi kwa timu ya Simba baada ya kunolewa na makocha watatu tofauti ndani ya miezi 13 iliyopita hadi sasa. Simba tayari imemfuta kazi kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, aliyeanza kuinoa timu hiyo Agosti mwaka jana na nafasi yake imechukuliwa na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyetarajia kusaini mkataba wa mwaka mmoja jana.
Goran anakuwa kocha wa tatu kuinoa Simba ndani ya miezi 13 iliyopita kwani kabla ya Phiri kurejea, kibarua...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Makocha waigomea Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cXBH7X7ikKnKeHkT4p5FCzQBkKIjdVZiwx1iPCp2BPbeQ-O3zHr7YwbZ*1sdUko*gXZTWFG0rYUy6XFUaeYlA**jiV-m2kyV/BREAKINGNEWS.gif)
SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Atupwa jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala imemuhukumu Mwanamuziki wa Bendi ya Achigo, Frank Ndokezi (41) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa kuiibia Ofisi ya Usaki Sacos Sh. milioni 19.8, kutakiwa kulipa faini ya fedha hizo mara baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo
Hukumu hiyo ilitolewa jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan, Wakili wa Serikali Ferista Mosha.
Hakimu Hassan alisema upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano waliotoa ushahidi ili kuweza kuthibitisha...