Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha waigomea Simba

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime, David Mwamaja wa Prisons na Juma Mwambusi wa Mbeya City wameitaka Simba kusahau kusajili wachezaji wao kwa sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Aliyekuwa Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) akifuatilia mazoezi. Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya…

 

10 years ago

Mtanzania

Miezi 13, makocha 3 Simba

aveva

 

NA  ABDUCADO EMMANUEL,
DAR ES SALAAM

INASHANGAZA! Hiyo ndio hali halisi kwa timu ya Simba baada ya kunolewa na makocha watatu tofauti ndani ya miezi 13 iliyopita hadi sasa. Simba tayari imemfuta kazi kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, aliyeanza kuinoa timu hiyo Agosti mwaka jana na nafasi yake imechukuliwa na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyetarajia kusaini mkataba wa mwaka mmoja jana.
Goran anakuwa kocha wa tatu kuinoa Simba ndani ya miezi 13 iliyopita kwani kabla ya Phiri kurejea, kibarua...

 

9 years ago

Habarileo

Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga

ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha 10 wametimuliwa, Simba, Ashanti zatia fola

Mwaka 2013 unafikia tamati kesho saa 6:00 usiku, baada ya hapo tutaukaribisha mwaka mpya 2014 huku watu wengi wakitafakari yaliopita pia wakijipanga kufanya mapya katika mwaka huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga

Makocha wa klabu mbalimbali za Ligi Kuu nchini wameichambua mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho na kueleza kuwa Yanga ‘itabebwa’ na uzoefu huku Simba ikitakiwa kucheza kitimu zaidi ili ishinde mchezo huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zafukuza makocha tisa miaka mitatu

Wakati Yanga imesitisha mkataba wa kazi wa kocha wake, Ernest Brandts imebainika kuwa Yanga na Simba zimefukuza makocha tisa kwa kipindi cha miaka mitatu.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKOCHA WA ZUNGU WA SIMBA NI WATALII WA SUMMER CAMP HAPA NI NDANI YA MILIMA YA LUSHOTO

Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi.
Wilbert Molandi na Sweetbert LukongeSIKU chache tangu Simba ilipotua Tanga kujiandaa na msimu mpya, wachezaji wa timu hiyo wamekiri kuwa mazoezi ya kocha wao mkuu, Dylan Kerr ni balaa kwa kuwa ni ya kiwango cha juu.
Simba ipo chini ya Kerr na msaidizi wake, Selemani Matola pamoja na kocha wa viungo, Mserbia, Dusan Momcilovic na kocha wa makipa, Mkenya, Abdul Idd Salim.Wakizungumza na Championi Ijumaa kwa nyakati tofauti, wachezaji wa timu hiyo walisema...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waandishi Mara waigomea CCM

SIKU moja baada ya kukamatwa, kupigwa na kisha kuporwa vifaa vyake vya kazi, mwandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi wilayani Bunda, Christopher Malegesi, na kiongozi mmoja wa Chama Cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani