Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha 10 wametimuliwa, Simba, Ashanti zatia fola

Mwaka 2013 unafikia tamati kesho saa 6:00 usiku, baada ya hapo tutaukaribisha mwaka mpya 2014 huku watu wengi wakitafakari yaliopita pia wakijipanga kufanya mapya katika mwaka huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba, Azam zatia mkono fainali Kombe la Chalenji

Rwanda na Uganda zitakutana Jumamosi katika fainali ambayo itawakutanisha kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima na kiungo wa Azam, Jean Baptiste Mugiraneza na beki wa Simba, Juuko Murshid na hivyo kuwa kivutio kwa mashabiki wa klabu hizo kubwa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Simba vs Oljoro, Ashanti vs Mgambo

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanajitupa ndani ya dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuwaalika maafande wa JKT Oljoro ya Arusha katika pambano la Ligi Kuu ya Vodacom,...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yawavaa KMKM leo, Mbeya City, Ashanti hoi

>Kocha mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic leo ataiongoza timu yake kuikabili KMKM kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

Mtanzania

Miezi 13, makocha 3 Simba

aveva

 

NA  ABDUCADO EMMANUEL,
DAR ES SALAAM

INASHANGAZA! Hiyo ndio hali halisi kwa timu ya Simba baada ya kunolewa na makocha watatu tofauti ndani ya miezi 13 iliyopita hadi sasa. Simba tayari imemfuta kazi kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, aliyeanza kuinoa timu hiyo Agosti mwaka jana na nafasi yake imechukuliwa na Mserbia, Goran Kopunovic, aliyetarajia kusaini mkataba wa mwaka mmoja jana.
Goran anakuwa kocha wa tatu kuinoa Simba ndani ya miezi 13 iliyopita kwani kabla ya Phiri kurejea, kibarua...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waigomea Simba

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime, David Mwamaja wa Prisons na Juma Mwambusi wa Mbeya City wameitaka Simba kusahau kusajili wachezaji wao kwa sasa.

 

10 years ago

GPL

SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Aliyekuwa Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) akifuatilia mazoezi. Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya…

 

9 years ago

Habarileo

Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga

ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Makocha Ligi Kuu wazichambua Simba, Yanga

Makocha wa klabu mbalimbali za Ligi Kuu nchini wameichambua mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kesho na kueleza kuwa Yanga ‘itabebwa’ na uzoefu huku Simba ikitakiwa kucheza kitimu zaidi ili ishinde mchezo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani